• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

NMG yapeleka msaada kwa kituo cha watoto cha Mama Fatuma

NA SAMMY KIMATU WATOTO katika makao ya Mama Fatuma Goodwill Children's Home katika mtaa wa Eastleigh Section 1, kaunti ndogo ya...

Mkutano wa Gachagua, wafanyabiashara wadogowadogo wazaa matunda

NA CHARLES WASONGA WAFANYABIASHARA wadogowadogo wa Nairobi wanaoagiza bidhaa kutoka ng’ambo sasa wamepata afueni baada ya serikali...

Pombe: Hoteli 5 zafungwa msako ukiendelea

NA STEPHEN MUNYIRI HOTELI tano za hadhi mjini Karatina, Kaunti ya Nyeri, zilifungwa Jumatano baada ya Rais William Ruto kuzuru kaunti hiyo...

Sakaja awasilisha mswada wa kuongeza urefu wa majumba

NA NDUBI MOTURI GAVANA Johnson Sakaja (pichani) amechukua hatua za kurasimisha pendekezo lake la kuondoa hitaji la kikoloni, kwamba...

Elimu: Taita Taveta yakabiliwa na uhaba wa walimu, mimba za mapema

NA ANTHONY KITIMO SWALA la uhaba wa walimu na mimba za mapema kwa wanafunzi limetajwa kuwa chanzo kikubwa cha kudorora kwa viwango za...

Maafisa wachunguza vifo vya watu wawili Makadara

NA SAMMY KIMATU MAKACHERO katika Kaunti ndogo ya Makadara wanachunguza visa viwili kuhusu watu wawili kufariki katika maeneo...

Serikali ya Taita Taveta vitani kukomboa Mtito Andei na Mackinnon Road

NA LUCY MKANYIKA SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta imeagiza wafanyabiashara walioko katika miji yenye utata ya Mtito Andei na Mackinnon...

Viongozi wa kidini Laikipia walalamikia ujangili, kuzorota kwa usalama

NA MWANGI NDIRANGU VIONGOZI wa Kanisa kutoka Kaunti ya Laikipia wamelalamikia ukosefu wa usalama eneo hilo huku wakitaka polisi na vitengo...

Mradi wa Dongo Kundu kuendelea baada ya muafaka

NA ANTHONY KITIMO MIEZI mitano baada ya Rais William Ruto kusimamisha ulipaji wa fidia ya Sh1.4 bilioni kwa walioathiriwa na mradi wa...

Mwanafunzi ajitia kitanzi kwa kuachwa na mpenziwe

NA WYCLIFFE NYABERI MWANAFUNZI wa kiume wa Chuo Kikuu cha Kisii amepatikana akiwa amefariki dunia katika nyumba ya kupanga mtaani Gekomu...

Mwongozo wa wakazi kuchimba madini mbugani Tsavo waandaliwa

NA LUCY MKANYIKA WIZARA ya Madini na Uchumi wa Baharini imeanzisha mchakato wa kuwakubalia wakazi wa Taita Taveta kuchimba madini ndani...

Washukiwa 12 mbaroni kwa kupatikana na chang’aa

NA SAMMY KIMATU WASHUKIWA 12 walikamatwa wakati wa msako dhidi ya pombe haramu na maduka ya kuuza vileo yasiyo na leseni mwishoni mwa...