• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 3:55 PM

Monda aelekea kortini kupinga kubanduliwa kwake

NA WYCLIFFE NYABERI ALIYEKUWA Naibu Gavana wa Kaunti ya Kisii Dkt Robert Monda ameelekea kortini kupinga kung'atuliwa kwake...

Majeneza yateketea katika mkasa wa moto Mathira 

NA MWANGI MUIRURI ZAIDI ya majeneza 150 ambayo mafundi walikuwa wametengeneza kusubiri wateja, yamechomeka hadi kuwa majivu katika mkasa...

Wamuratha aandaa timu ya wanawake 100 kunasua vijana kwa ulevi

NA LAWRENCE ONGARO MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Kiambu, Anne Wamuratha, amefanya kikao maalum na wanawake 100 mjini Thika,...

Mbinu maalum kuzima ujangili Kerio Valley 

NA OSCAR KAKAI VYOMBO vya usalama Bonde la Kerio Valley vinapanga kutekeleza ‘mashambulizi’ kwenye maficho ya wahuni ambao wamekuwa...

Taita Taveta yalia miradi ya serikali kuu kukwama

NA LUCY MKANYIKA UJENZI wa barabara ya Mto Mwagodi-Msau-Mbale-Werugha-Mgange-Bura ya kilomita 54 umekoma, licha ya serikali kuhakikishia...

Wafanyabiashara walia kuumizwa na ushuru, ukatili wa kanjo

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro amekiri kwamba Mamlaka ya Ushuru Nchini (KRA) na ile ya kupambana na bidhaa feki (CA)...

Nyeri: Wafanyakazi wa kaunti waagizwa kufunga baa zao

NA MERCY MWENDE WAFANYAKAZI wa kaunti ya Nyeri wanaomiliki baa wamepewa notisi ya wiki moja kufunga biashara zao. Akizungumza Ijumaa...

Dkt Monda apoteza kazi kama Naibu Gavana wa Kisii

NA COLLINS OMULO NAIBU Gavana wa Kisii Robert Monda amepoteza kazi yake baada ya maseneta kupiga kura ya kuunga mkono makosa manne...

Mfanyabiashara azimwa kuvamia shamba la bwanyenye marehemu

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imemzima mfanyabiashara Dorcus Joan Kiptoo kutwaa umiliki wa shamba la ekari 66 lenye thamani ya Sh4.6...

Mahangaiko hoteli zikifungwa kupisha mwezi wa Ramadhani

NA FATUMA BUGU WAKAZI wengi wa Mombasa wanaopenda mapochocho ya Pwani tayari wameanza kutafuta sehemu mbadala kukimu mahitaji yao ya...

Elachi afichua Kilimani imegeuzwa danguro la vibiritingoma, wahuni

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Dagoretti Kaskazini Beatrice Elachi amefedheheshwa na jinsi wasichana wadogo kutoka mitaa ya mabanda ya...

Polisi waamriwa kuvunja Mungiki katika steji ya Sagana

NA MWANGI MUIRURI KAMANDA wa polisi eneo la Kati, Lydia Ligami, ametoa amri kwa wadogo wake wanahudumu katika maeneo ya Kaunti ya...