NA WYCLIFFE NYABERI ALIYEKUWA Naibu Gavana wa Kaunti ya Kisii Dkt Robert Monda ameelekea kortini kupinga kung'atuliwa kwake...
NA MWANGI MUIRURI ZAIDI ya majeneza 150 ambayo mafundi walikuwa wametengeneza kusubiri wateja, yamechomeka hadi kuwa majivu katika mkasa...
NA LAWRENCE ONGARO MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Kiambu, Anne Wamuratha, amefanya kikao maalum na wanawake 100 mjini Thika,...
NA OSCAR KAKAI VYOMBO vya usalama Bonde la Kerio Valley vinapanga kutekeleza ‘mashambulizi’ kwenye maficho ya wahuni ambao wamekuwa...
NA LUCY MKANYIKA UJENZI wa barabara ya Mto Mwagodi-Msau-Mbale-Werugha-Mgange-Bura ya kilomita 54 umekoma, licha ya serikali kuhakikishia...
NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro amekiri kwamba Mamlaka ya Ushuru Nchini (KRA) na ile ya kupambana na bidhaa feki (CA)...
NA MERCY MWENDE WAFANYAKAZI wa kaunti ya Nyeri wanaomiliki baa wamepewa notisi ya wiki moja kufunga biashara zao. Akizungumza Ijumaa...
NA COLLINS OMULO NAIBU Gavana wa Kisii Robert Monda amepoteza kazi yake baada ya maseneta kupiga kura ya kuunga mkono makosa manne...
NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imemzima mfanyabiashara Dorcus Joan Kiptoo kutwaa umiliki wa shamba la ekari 66 lenye thamani ya Sh4.6...
NA FATUMA BUGU WAKAZI wengi wa Mombasa wanaopenda mapochocho ya Pwani tayari wameanza kutafuta sehemu mbadala kukimu mahitaji yao ya...
NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Dagoretti Kaskazini Beatrice Elachi amefedheheshwa na jinsi wasichana wadogo kutoka mitaa ya mabanda ya...
NA MWANGI MUIRURI KAMANDA wa polisi eneo la Kati, Lydia Ligami, ametoa amri kwa wadogo wake wanahudumu katika maeneo ya Kaunti ya...