• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 6:50 PM

Tanzia: Kamishna wa Lamu, Louis Rono aaga dunia

NA KALUME KAZUNGU KAMISHNA wa Kaunti ya Lamu Louis Rono ameaga dunia wakati alikuwa akipokea matibabu mapema Alhamisi katika hospitali...

Corona imerudi?

HELLEN SHIKANDA Na MERCY CHELANGAT MADAKTARI wanatahadharisha kuwa kuna ongezeko la maambukizi ya magonjwa ya kupumua huku baadhi ya...

Mwanamume ashtakiwa kumtishia gavana atoboke Sh240m

NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME ameshtakiwa kwa kudai kwa vitisho Sh240 milioni kutoka kwa Gavana wa Kakamega Fernandes Odinga...

Mahakama yazuia kiti cha Monda kutangazwa wazi

NA WYCLIFFE NYABERI MAHAKAMA Kuu imesimamisha mipango yoyote ya kukitangaza wazi kiti cha unaibu gavana wa Kisii kwenye Gazeti rasmi la...

Kenya bado yalengwa na magaidi – ripoti

NA STEVE OTIENO KENYA ni miongoni mwa nchi 20 zinazoongoza kwa kushambuliwa na magaidi katika orodha inayotawaliwa na mataifa ya Afrika...

Kindiki aonya magenge ya ujambazi Magharibi mwa Kenya

NA JESSE CHENGE WAZIRI wa Wizara ya Usalama wa Ndani Kithure Kindiki ametoa onyo kali kwa magenge yanayotekeleza ujambazi Magharibi mwa...

Azimio yalaumu serikali kwa kuchelewesha fedha za kupiga jeki elimu

NA CHARLES WASONGA KUNDI la wabunge wa muungano wa Azimio la Umoja–One Kenya limeitaka serikali kutoa pesa ambazo shule za upili...

Serikali yazinduka kuepusha vifo vya wanafunzi kwa ajali

NA WANDERI KAMAU SERIKALI sasa imezinduka na kutangaza kuanza operesheni kali kukabili visa vya ajali nchini, kufuatia matukio kadhaa...

Mwanahabari Rita Tinina aliaga dunia kutokana na nimonia – Upasuaji

NA CHARLES WASONGA MWANAHABARI Rita Tinina aliaga dunia kutokana na matatizo ya kiafya yaliyosababishwa na ugonjwa wa nimonia ambao...

Ajali: Wanafunzi wanane wa KU wahamishiwa Nairobi kwa matibabu

NA LUCY MKANYIKA WANAFUNZI wanane wa Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU) waliojeruhiwa vibaya katika ajali ya Jumatatu eneo la Maungu katika...

Ruto ashangaa ufisadi unavyosakatwa katika asasi za serikali

NA WYCLIFFE NYABERI RAIS William Ruto amelalamikia ufujaji wa rasilimali katika baadhi ya mashirika ya serikali, akisema jambo hilo...

Afisi za uhamiaji Bungoma kuanza kutoa huduma kamili za pasipoti

NA JESSE CHENGE WAKAZI wa Bungoma na eneo la Magharibi kwa ujumla hivi karibuni wataondolewa gharama ya kusafiri Kisumu au Eldoret...