• Nairobi
  • Last Updated December 2nd, 2023 3:45 PM

Chama cha Kalonzo Musyoka chatishia kushauri raia waandamane

NA MERCY SIMIYU CHAMA cha Wiper kimetishia kushinikiza wananchi kurejea barabarani, iwapo Mazungumzo ya Maridhiano yanayoendelea...

Ufisadi katika kaunti unapitiliza maelezo, ripoti ya EACC yasema

NA JUSTUS OCHIENG TUME ya Maadili na Kupamabana na Ufisadi nchini (EACC) imerejelea ubadhirifu wa fedha za umma kama aina ya ufisadi...

Mwalimu akatwa na mbawa za helikopta Garissa na kufariki

NA MANASE OTSIALO Naibu Mwalimu Mkuu ameuawa baada ya kukatwa kichwani na mbawa za helikopta. Kisa hicho cha Novemba 21, 2023 asubuhi...

Bei za mafuta, umeme kupanda tena mswada mpya ukipitishwa

NA BRIAN AMBANI BEI za mafuta na umeme zitaongezeka tena kutokana na mabadiliko yanayopendekezwa kufanyiwa sheria ili kuongeza maradufu...

Ndege mbili za helikopta zahusika katika ajali tofauti Wajir

Na MANASE OTSIALO Takriban watu watatu wamejeruhiwa baada ya ndege aina ya helikopta kuanguka katika maeneo tofauti katika matukio...

Mama mkwe wa Maina Njenga azirai akilishwa kiapo kortini

Na JOSEPH OPENDA Kesi ya Kiongozi katika muungano wa Azimio Maina Njenga kuhusiana na ushiriki wake kwenye kundi haramu la Mungiki na...

Majonzi, hasara mvua ikiendelea kushuhudiwa nchini  

BRIAN OCHARO, CECE CIAGO, BENSON MATHEKA, STEPHEN ODUOR NA WINNIE ATIENO WAFANYAKAZI wawili wa Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru nchini (KRA)...

Kenyatta: Kenya Kwanza imefeli Wakenya, nimegeuzwa kisingizio hata mke wa mtu akikosa kushika mimba  

NA SAMMY WAWERU RAIS mstaafu Uhuru Kenyatta ameikashifu serikali ya Kenya Kwanza, kwa kile amedai “imesheheni visingizio kwa...

Serikali yatangaza mikakati kuimarisha utalii Pwani ya Kenya

NA WINNIE ATIENO SERIKALI imetangaza mikakati ya kuimarisha utalii wa kimataifa katika eneo la Pwani hasa ikilenga raia wa Italiano...

Kenyatta aonekana hadharani baada ya boma la mwanawe ‘kuvamiwa’ na askari

NA SAMMY WAWERU RAIS mstaafu Uhuru Kenyatta Jumapili, Novemba 19, 2023 alionekana kwa mara ya kwanza hadharani hasa baada ya boma la...

Miili ya maafisa 2 wa KRA walioangamizwa na El – Neno Kwale yapatikana

NA MERCY KOSKEI MIILI ya maafisa wawili wa Mamlaka ya Utozaji Ushuru Nchini (KRA) waliosombwa pamoja na gari lao na mafuriko ya mvua ya...

Ruto asisitizia mawaziri kuhusu utekelezaji wa ahadi

NA ROSELYNE OBALA RAIS William Ruto amewataka mawaziri na makatibu kwenye wizara mbalimbali, waweke juhudi na nguvu katika kutimiza...