• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

Kadhi Mkuu atangaza rasmi mwisho wa Mfungo wa Ramadhani

NA WACHIRA MWANGI Kadhi Mkuu Abdulhalim Hussein ametangaza mwisho wa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Jumanne baada ya kuonekana kwa...

Manusura pekee wa ajali iliyoua saba Ngata Bridge atambuliwa kuwa afisa wa polisi

MERCY KOSKEI NA VITALIS KIMUTAI MANUSURA pekee kutoka ajali iliyoua watu 7 jana katika eneo la Ngata, Kaunti ya Nakuru, anapokea matibabu...

Ruto kutafuta mtu mwingine baada ya Kemosi kukataa kazi ya ubalozi wa Ghana

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA mbunge wa Mugirango Magharibi, Bw Vincent Mogaka Kemosi, amekataa uteuzi wake kama balozi wa Kenya nchini...

Kindiki atangaza Jumatano kuwa siku ya mapumziko, kuadhimisha Eid-ul-Fitri

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindii ametangaza Jumatano, Aprili 10, 2024 kuwa siku ya mapumziko. Siku hiyo...

Ruto aridhishwa na usambazaji fatalaiza licha ya ‘soko’ kusheheni mbolea feki  

NA WAANDISHI WETU  RAIS William Ruto ameelezea kuridhishwa kwake na shughuli ya usambazaji mbolea ya ruzuku hata baada ya Wizara ya...

Wanawake Kenya wanavyogeuzwa tasa hospitalini bila idhini yao – Utafiti

NA LEON LIDIGU WANAWAKE nchini wanaosaka huduma za matibabu ya uzazi wanafanyiwa ukaguzi wa sehemu za siri, kukatizwa uwezo wa kupata...

Wahasiriwa wa dhuluma za polisi Corona ikitesa wataka fidia

NA RICHARD MUNGUTI JAMAA wa wahanga wa ukatili wa maafisa wa polisi waliouawa katika mazingira ya kutatanisha 2020 wakati wa kutekeleza...

Wabunge waonywa dhidi ya kupitisha mswada unaoharamisha LGBTQ

NA CHARLES WASONGA HUKU Bunge la Kitaifa likirejelea vikao vyake Jumanne, Aprili 9, 2024 baada ya likizo, limeonywa dhidi ya kupitisha...

DJ Mfalme aondolewa lawama ya mauaji ya polisi

NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Renson Igonga amemwondelea kesi ya mauaji ya afisa wa polisi Felix Kintosi...

CIPK yaomba serikali kutopuuzilia mbali mkataba na madaktari

NA TITUS OMINDE BARAZA la Maimam na Wahubiri Nchini (CIPK) limesihi serikali kutopuuza Mkataba mzima wa Makubaliano ya Pamoja (CBA) kati...

Wizara ya Kilimo kutuma wakaguzi kutekeleza kanuni za miraa

NA DAVID MUCHUI WIZARA ya Kilimo itatuma wakaguzi wa usalama wa chakula katika Kaunti ya Meru ili kutekeleza kanuni za miraa eneo...

Mgawanyiko chama cha Ruto, UDA

NA JOSEPH OPENDA DALILI za mapema za mgawanyiko zimejitokeza ndani ya chama tawala cha United Democratic Alliance (UDA) kaunti ya...