• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:33 AM

Ukivurugikiwa na akili, watoto wako nao pia watavurugika kitabia -Utafiti

Na CECIL ODONGO WATAFITI wamebaini kuwa mwanaume akiwa katika hali nzuri ya afya ya kiakili, mtoto ambaye huzaliwa huwa na tabia nzuri na...

Jamii yaambiwa ndoa za wake wengi huwaweka wanawake kwa hatari ya kansa ya mlango wa kizazi

NA KALUME KAZUNGU KANSA ya mlango wa kizazi inazidi kuathiri wanawake wengi katika Kaunti ya Lamu ambao sasa wanawanyooshea kidole cha...

Utafunaji miraa na michanganyiko ya ‘chewing gum’ husababisha kansa – Wataalamu

NA KALUME KAZUNGU IWAPO wewe ni mtafunaji miraa na muguka na unapenda kuchanganya na ‘chewing gum', tambuu na kuvuta tumbaku, basi...

Matumaini teknolojia mpya ya kutibu ugonjwa wa selimundu ikifanyiwa majaribio

NA PAULINE ONGAJI WAGONJWA wanaougua maradhi ya selimundu wana matarajio makubwa endapo teknolojia mpya ya matibabu inayofanyiwa...

Ole wako wewe mwenye kutumia simu msalani!

NA WANGU KANURI WATAALAMU wa afya wameonya dhidi ya matumizi ya simu mtu aendapo msalani. Kuketi msalani kwa muda mrefu pamoja na kukaza...

Wanaume hawawezi kustahimili habari mbaya kama wanawake – Utafiti

NA CECIL ODONGO Wanaume hubana habari mbaya zinazowahusu na za watu wengine, watafiti wamebaini. Utafiti huo ulioendeshwa na Wanasayansi...

AstraZeneca yaifaa KNH kwa mashine ya kisasa ya tiba ya kansa ya tezi dume

NA PAULINE ONGAJI KAMPUNI ya kimataifa ya kutengeza dawa ya AstraZeneca, mnamo Alhamisi ilitoa msaada wa mashine ya kutumia teknolojia ya...

Masaibu ya chokoraa wa kike wasiopata huduma za upangaji uzazi licha ya dhuluma za kingono

NA FRIDAH OKACHI HOFU ya kudungwa sindano wanayosema huenda ikawa na sumu, imefanya chokoraa wa kike kuwa wazazi wakiwa wangali wadogo...

Mtoto mvulana avalishwe ‘diapers’ au aachwe nyeti zake zipunge hewa?

NA WANGU KANURI MJADALA wa iwapo mtoto wa kiume anapaswa kuvalishwa nepi (diaper) au la bado ungalipo huku wazazi mbalimbali wakiwa na...

Boresha afya: Haya ni baadhi ya matumizi mengi ya ndizi

NA PAULINE ONGAJI KWA watu wengi picha ya ndizi iliyoiva kupindukia haipendezi, na tunda hili linapoonekana hivi kwa wengi suluhisho huwa...

‘Mume wangu analea watoto wetu watatu, lakini hajui wawili si wake’

NA FRIDAH OKACHI ULIPIZAJI kisasi umechangia baadhi ya wanaume kulea watoto ambao si wao. Mume wa Kate anawalea watoto wawili bila kujua...

Kansa: Mwanamke asimulia jinsi mume alivyomuacha kwa kukatwa titi

NA KALUME KAZUNGU BI Shumi Abdallah Bakari ni miongoni mwa manusura wa maradhi ya saratani ya matiti kisiwani Lamu. Mama huyo wa miaka 63...