• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 12:58 PM

Ugonjwa unaomfanya mtu kujikuna anapogusa maji

Na WANGU KANURI MNAMO mwaka wa 2016, Walter Simiyu, 30, alianza kuhisi mwasho kila wakati alipogusa maji na haswa akioga. Bw Simiyu...

Hofu huku idadi ya wanaume wanaokosa nguvu za kiume ikiongezeka

Na CECIL ODONGO WATAALAMU wa afya wamezua hofu kutokana na kuendelea kupanda kwa idadi ya wanaume tasa au wale ambao hawana nguvu za...

Mwanamume aliyepooza kwa sababu ya Polio asimulia jinsi alivyoacha shule kwa kuchekwa na wenzake

NA KALUME KAZUNGU KILA anaposimama kuzungumza, iwe ni kwenye makongamano, mikutano au hata  kampeni zinazofungamana na afya, hasa suala...

Wito kwa walioambukizwa HIV wajitokeze waziwazi kuepusha maambukizi ya mama hadi kwa mtoto

NA ALEX KALAMA WADAU wa afya katika Kaunti ya Kilifi wameelezea hofu yao, baada ya maambukizi ya virusi vya ukimwi kutoka kwa mama hadi...

SHINA LA UHAI: Uhaba wa dawa za TB wahatarisha afya ya Wakenya

NA PAULINE ONGAJI AGOSTI 2023, Bw Emanuel Parsare, mkazi wa kijiji cha Kiserian, eneo la Marigat, Kaunti ya Baringo, alizuru hospitali...

SHINA LA UHAI: Ongezeko la taka za kielektroniki tishio kwa afya na mazingira

NA PAULINE ONGAJI HUKU ulimwengu ukiendelea kushuhudia ustawi mkuu wa teknolojia, kwa upande mwingine, maendeleo haya yamesababisha...

Vifaabebe kwa watoto wachanga huwacheleweshea uwezo wa kuongea, wanasayansi wasema

NA MARY WANGARI HUKU wanasayansi wakionya dhidi ya matatizo ya kiafya yanayosababishwa na mazoea ya kuwaruhusu watoto kuwa na muda...

Ursula von der Leyen aahidi Afrika sapoti ya Ulaya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi

HELLEN SHIKANDA Na MARY WANGARI RAIS wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya (EU), Ursula von der Leyen akihutubu kwenye Kongamano Kuu la Afrika...

Vijana waonywa kuhusu ‘beach parties’ Malindi Ukimwi ukienea

NA MAUREEN ONGALA SHIRIKA la vijana la Dream Youth Achievers Organisation (DAYO) limeshirikiana na serikali ya Kaunti ya Kilifi kutoa...

Wanamazingira waingiwa na wasiwasi mikoko ikifa Kitangani

NA KALUME KAZUNGU WATUNZAJI na wanaharakati wa kuhifadhi mazingira katika Kaunti ya Lamu wanazidi kukuna vichwa kufuatia kufeli mara...

Dogo wa umri wa miaka 10 kuhutubia kongamano la tabianchi la ACS23

BONIFACE MWANGI Na WINNIE ONYANDO KIJANA Nigel Waweru, mwenye umri wa miaka 10, ameteuliwa kuhutubu katika kongamano la mabadiliko ya...

SHINA LA UHAI: Hatari, tija za mwanamke kujifungua akiwa na umri wa zaidi ya miaka 40

NA PAULINE ONGAJI PINDI baada ya pacha wake watatu kuzaliwa mwezi wa Aprili, Bi Purity Toyian, 42, aligundulika kuugua deep vein...