• Nairobi
  • Last Updated October 1st, 2023 9:40 PM

SHINA LA UHAI: Mradi walenga kuokoa wanawake ukiangazia HIV, kansa

NA PAULINE ONGAJI MIAKA miwili iliyopita Bi Caroline Adhiambo Dede, mkazi wa kijiji cha Mariwa, Kaunti ya Homa Bay, kama kawaida alizuru...

Zifahamu baadhi ya faida za upupu (stinging nettle)

NA MARGARET MAINA [email protected] UPUPU almaarufu stinging nettle, umekuwa ukitumika kama dawa ya mitishamba tangu zama za...

Matumizi mbalimbali ya mafuta ya haradali

NA MARGARET MAINA [email protected] MAFUTA ya haradali, ambayo hutolewa kutoka kwa mbegu za mmea wa haradali, ni kiungo cha...

Kuitunza ngozi: Fahamu tatizo kabla ya kuchagua mbinu na tiba mahsusi

NA MARGARET MAINA [email protected] MFADHAIKO unaweza ukadhihirika kupitia hali ya ngozi kama vile mtu kuwa na chunusi, uvimbe...

Jinsi unavyoweza kudumisha mifupa yenye afya

NA MARGARET MAINA [email protected] MADINI huingia kwenye mifupa yako kipindi cha utoto, ujana na utu uzima wa mapema. Lishe...

Shida ya pumu na jinsi unavyoweza kujihadhari nayo

NA MARGARET MAINA [email protected] PAMOJA na kutumia dawa na mpango sahihi wa matibabu, tiba za nyumbani zinaweza kusaidia...

Jinsi mraibu wa unywaji pombe anavyoweza kujinasua

NA MARGARET MAINA [email protected] KUACHA ulevi ni lengo ambalo si rahisi kwa mraibu kuliafikia. Mraibu anahitaji kujitolea,...

Je, kuna chakula cha kukusaidia usizeeke haraka?

NA MARGARET MAINA [email protected] KULA chakula chenye virutubisho vingi ni mojawapo ya njia kuu zinazoweza kukusaidia ujisikie...

SHINA LA UHAI: Ripoti yaonyesha mzigo na janga kuu la kansa nchini

NA PAULINE ONGAJI KWA kila Wakenya watatu wanaobainishwa kuugua kansa, wawili kati yao hufariki, idadi inayowakilisha takriban asilimia...

JIJUE DADA: Kinachosababisha maumivu ya tumbo wakati wa hedhi

NA PAULINE ONGAJI MAUMIVU ya tumbo wakati wa hedhi husababishwa na kutanuka na kunywea kwa njia ya uzazi ili kuondoa damu kwenye kuta...

MUME KIGONGO: Wanaume wanene hatarini kuathiriwa na maradhi zaidi kushinda wanawake

NA CECIL ODONGO WANAUME wanene wanahangaishwa na maradhi zaidi kuliko wanawake, Utafiti umebaini. Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha York...

SHINA LA UHAI: Kisonono chaweza sababisha utasa na athari nyingine

NA WANGU KANURI WIKI jana Wakenya walikabiliwa na hali ya mfadhaiko na wasiwasi baada ya kuripotiwa kwa mkurupuko wa ugonjwa wa kisonono...