• Nairobi
  • Last Updated September 28th, 2023 10:25 PM

KIKOLEZO: Azidi kuchafua hewa Twitter

NA SINDA MATIKO TAJIRI nambari moja duniani Elon Musk ameendelea kuchafua hewa pale Twitter baada ya kukamilisha ununuzi wa App hiyo kwa...

KASHESHE: Amwaga povu zito

NA SINDA MATIKO ALIKIBA anasema sababu moja inayofanya muziki wa Afrika Mashariki kukwama na kushindwa kwenda mbali ni...

KIKOLEZO: Domokaya Kanye ajichomea

NA SINDA MATIKO UNAJUA ulimi ni kiungo kidogo sana ila kina nguvu zaidi ya zile nywele za Samsoni wa Biblia. Unafikiri Vita Vikuu vya...

DOMO: Huku kuanika tumbo kwasinya

NA MWANAMIPASHO KUNA wimbo wa zilizopendwa niliosikiliza juzi, ukanikuna akili. Sijui jina la wimbo ila najua wasanii walotunga...

DOMO: Vera, makalio si kitu kipya!

NA MWANAMIPASHO KWA kweli mambo ni mengi masaa ndio machache. Kuna msela mmoja pale Twitter anajiita Billy The Goat. Ana ufuasi...

KASHESHE: Vannyboy arusha jiwe

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI Rayvanny karusha jiwe gizani kwa kudai kwamba toka ameondoka WCB Wasafi, sanaa yake imekua hata...

DOMO: Wakati mwingine tuache ujinga

NA MWANAMIPASHO WAKENYA bwana. Yaani licha ya uchumi wetu ulivyo mgumu bado tu elfu nne wewe mliamua hamtakosa Nyege Nyege Festival. Kwa...

KIKOLEZO: Nabii aliyekataliwa kwao!

NA SINDA MATIKO MWEZI Agosti nilikuwa jijini Kisumu kwa shughuli ya uzinduzi wa jukwaa la utumbuizaji la Dunga Hill Camp lililofadhiliwa...

DOMO: Mhesh asalimu amri ya KOT!

NA MWANAMIPASHO NAFIKIRI nishawahi kusema hapa na narudia tena, vitu vitatu ninavyoviogopa mimi; ni Mungu, uji moto na sasa...

KIKOLEZO: Penzi lakubali mabosslady!

NA  SINDA MATIKO KWA miaka na mikaka, suala la mpenzi wa kike kumpiku mpenziwe kipato limeishi kuwa donda ndugu. Uzunguni kidogo...

DOMO: Kagundua followers sio wapigakura

NA MWANAMIPASHO KUNA kujiamini halafu kuna kujichocha. Nataka kuamini mchekeshaji MC Jessy anajutia ile fursa aliyopewa na Naibu Rais...

Mary Nzula Munyao: Mwigizaji chipukizi anayelenga kumiliki brandi ya filamu miaka 5 ijayo

NA JOHN KIMWERE INGAWA hajapata mashiko kwa viwango anavyotarajia ni mmojawapo wa waigizaji wa kike nchini Kenya wanaopania kutinga upeo...