• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 11:46 AM

Mimi si maskini eti ndio naanzisha kanisa, nina gari la V8, asema mhubiri Sammy Irungu

NA WANDERI KAMAU SIKU chache baada ya kuanzisha kanisa lake katika mkahawa mmoja jijini Nairobi, mwanamuziki Sammy Irungu sasa amepuuza...

Akothee katika ziara ya hisia kali ‘nyumbani’ kwa kina Omosh

NA FRIDAH OKACHI MASHABIKI kwenye ukurasa wa mwanamuziki Esther Akoth almaarufu Akothee wamempongeza baada ya kutangaza atakuwa anaelekea...

Wa Mumbi amulikwa kwa kupeleka nyayo nyingi ukweni

NA MWANGI MUIRURI MAPENZI kati ya maharusi, mbunge wa Mathira Eric wa Mumbi na Mbunge Mwakilishi wa Kike wa Murang'a Betty Maina...

Akothee ni kielelezo kwangu licha ya tofauti za kifamilia – Cebbie Koks

NA FRIDAH OKACHI MSOMI Cebbie Koks Nyasego, ambaye ni dadake mwanamuziki Esther Akoth almaarufu Akothee, amethibitisha kuwepo kwa...

Hata kama mnaniita bikizee, mjue Guardian Angel ananipenda, asema Esther Musila

NA FRIDAH OKACHI MKE wa mwanamuziki wa nyimbo za injili Guardian Angel amewajibu wanaomkejeli kuwa atazeeka bila kujuta. Wiki hii,...

Gwiji wa utangazaji Joyce Gituro asimulia changamoto za ndoa

NA WANDERI KAMAU GWIJI wa utangazaji Joyce wa Gituro ameeleza jinsi ndoa yake ilivyokumbwa na changamoto nyingi na sababu zilizomfanya...

Kanyari: Maisha magumu yalinisukumu kuambia waumini kupanda mbegu ya 310

NA FRIDAH OKACHI PASTA Victor Kanyari aliyezingirwa na utata nchini, sasa amekiri mpango wake wa kuitisha Sh310 za waumini kupanda...

Amber Ray na Kennedy Rapudo wathibitisha ladha ya penzi ni mtoto

NA FRIDAH OKACHI SOSHIOLAITI Amber Ray na mpenziwe Kennedy Rapudo almaarufu 'Tajiri', kwa mara ya kwanza wameiweka sura ya binti yao...

Willy Pozee arejea kanisani baada ya miaka saba!

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Wilson Abubakar Radido almaarufu Willy Paul au Willy Pozee, amefichua kwamba kwa miaka saba hajakuwa...

MC Jessy adai Gen Z wafurika DM kuomba penzi lake kiujanja

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Jasper Muthomi almaarufu MC Jessy amesimulia jinsi alivyokubali majina anayopata kutoka kwa kizazi cha...

Njeeri akiri kuachana na Muigai wa Njoroge

NA WANDERI KAMAU MKEWE mwanamuziki wa nyimbo za Injili na kuishauri jamii mwenye ufuasi mkubwa eneo la Mlima Kenya John Muigai Nyururu...

DOMOKAYA: Katika ndoa za maceleb, nyuma ya pazia kuna vijimambo kama ndoa zingine tu

NA MWANAMIPASHO WANGWANA walishatuambia miaka ile, “lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani laja”. Mwaka jana nipo kijiweni,...