• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 12:45 AM

Mkulima aliyechanganya maparachichi ndani ya shamba la chai na matokeo ni tabasamu tu!

NA LABAAN SHABAAN WAKULIMA wengi wakiganda na majani chai eneobunge la Konoin Kaunti ya Bomet, Moses Limo ni mmoja wa wakulima...

Mcheshi Butita atishia kuuza gari kwa kusengenywa eti amewekwa na ‘mumama’

Na SINDA MATIKO Butita awaza kuliuza gari lake la 5M Jaguar XE kisa madai ya 'limama' TOKA penzi lake na mchekeshaji mwenza Mamitto...

Eneo ambalo hakuna bucha hata moja, nyama huchinjwa na kuuzwa chini ya mti msituni

NA OSCAR KAKAI NI saa nne asubuhi, Jumamosi ndani ya msitu, nyama ya mbuzi inaning’inia juu ya mti huku vijana watatu wenye nguvu...

Mshukiwa wa mauaji alivyotia wakazi hofu kwa kutoa ‘orodha’ ya anaotaka kuchinja

UPDATE: Kamanda wa polisi Murang'a Kainga Mathiu amethibitisha kukamatwa kwake Na MWANGI MUIRURI WENYEJI wa kijiji cha Chui kilichoko...

Sasa kuna teknolojia ya kukwambia unavyoweza kutumia ardhi kwa manufaa zaidi

NA RICHARD MAOSI Ardhi ni zana muhimu kwa ajili ya kutosheleza mahitaji ya chakula nchini. Wataalam wanasema mbali na kuwa utajiri,...

Hivi kumbe mwimbaji wa injili kutoka Tanzania Christina Shusho ndio kiboko ya Gen Z wa Kenya?

NA SINDA MATIKO NDIVYO hivyo. Kwa mujibu wa ripoti ya hivi majuzi kuelekea msimu wa Pasaka, kutoka kwa tuvuti ya kupakua muziki,...

Mkulima Nakuru aliyeacha majirani vinywa wazi kwa kung’oa mahindi na kupanda matunda

NA JOHN NJOROGE Ni nyakati za adhuhuri tunapowasili katika eneo la Kapsinendet, Mariashoni takriban kilomita tisa kutoka Mji wa Elburgon...

David Sankok: Sindano ndio ilinigeuza mlemavu ingawa sasa umegeuka kuwa baraka kubwa!

NA LABAAN SHABAAN MBUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) David Sankok, 46, alizaliwa bila ulemavu mwaka wa 1978 kijijini...

Demu wangu aliniomba nauli akisema anatembelea wazazi lakini hajarudi

Mpenzi wangu aliondoka wiki mbili zilizopita akaniambia anaenda kutembelea wazazi wake mashambani. Aliniomba pesa za nauli na bado mpaka...

Fahamu faida ya makundi ya wakulima na wafanyabiashara wadogo

NA BENSON MATHEKA UKIWA mfanyabiashara au mkulima mdogo, ungana na wengine kwa manufaa yako. Wataalamu wa biahara na masuala ya fedha...

Waziri Kuria ‘mwanasiasa’ Ruto hana budi kumvumilia na sarakasi zake

NA MWANGI MUIRURI KATIKA siku za hivi karibuni, Waziri wa Utendakazi wa umma Bw Moses Kuria amejipa nembo ya mwanasiasa ambaye humkanganya...

Itumbi aahidi urejeo wa kumulikwa macho na kampuni ya Worldcoin

NA MWANGI MUIRURI BW Dennis Itumbi ambaye ni mwandani wa Rais William Ruto sasa anataka kampuni ya Worldcoin iliyokuwa ikimulika watu...