NA LABAAN SHABAAN WAKULIMA wengi wakiganda na majani chai eneobunge la Konoin Kaunti ya Bomet, Moses Limo ni mmoja wa wakulima...
Na SINDA MATIKO Butita awaza kuliuza gari lake la 5M Jaguar XE kisa madai ya 'limama' TOKA penzi lake na mchekeshaji mwenza Mamitto...
NA OSCAR KAKAI NI saa nne asubuhi, Jumamosi ndani ya msitu, nyama ya mbuzi inaning’inia juu ya mti huku vijana watatu wenye nguvu...
UPDATE: Kamanda wa polisi Murang'a Kainga Mathiu amethibitisha kukamatwa kwake Na MWANGI MUIRURI WENYEJI wa kijiji cha Chui kilichoko...
NA RICHARD MAOSI Ardhi ni zana muhimu kwa ajili ya kutosheleza mahitaji ya chakula nchini. Wataalam wanasema mbali na kuwa utajiri,...
NA SINDA MATIKO NDIVYO hivyo. Kwa mujibu wa ripoti ya hivi majuzi kuelekea msimu wa Pasaka, kutoka kwa tuvuti ya kupakua muziki,...
NA JOHN NJOROGE Ni nyakati za adhuhuri tunapowasili katika eneo la Kapsinendet, Mariashoni takriban kilomita tisa kutoka Mji wa Elburgon...
NA LABAAN SHABAAN MBUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) David Sankok, 46, alizaliwa bila ulemavu mwaka wa 1978 kijijini...
Mpenzi wangu aliondoka wiki mbili zilizopita akaniambia anaenda kutembelea wazazi wake mashambani. Aliniomba pesa za nauli na bado mpaka...
NA BENSON MATHEKA UKIWA mfanyabiashara au mkulima mdogo, ungana na wengine kwa manufaa yako. Wataalamu wa biahara na masuala ya fedha...
NA MWANGI MUIRURI KATIKA siku za hivi karibuni, Waziri wa Utendakazi wa umma Bw Moses Kuria amejipa nembo ya mwanasiasa ambaye humkanganya...
NA MWANGI MUIRURI BW Dennis Itumbi ambaye ni mwandani wa Rais William Ruto sasa anataka kampuni ya Worldcoin iliyokuwa ikimulika watu...