‘Itachukua serikali miaka 50 kupata pesa ambazo Adani itatumia kuboresha JKIA ndani ya miaka 30’
MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege nchini (KAA), itachukua miaka 50 kukusanya Sh200 bilioni ambazo Adani Airports Holdings Ltd inataka kuingiza...
October 16th, 2024