• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

Arsenal yapepetwa na Aston Villa   

NA MWANGI MUIRURI  NI kilio na majonzi kwa mashabiki wa Arsenal huku wakishikilia kwamba ndovu angali juu ya mti baada ya timu kipenzi...

Mcheshi Kiengei na mbunge wa zamani ‘washikana mashati’

NA WANDERI KAMAU MWANZILISHI wa kanisa la Jesus Compassion Ministries (JCM), Pasta Benson Kiengei, wikendi alizua gumzo katika mitandao...

Aladwa ahimiza wanafunzi waliopata basari kutia bidii shuleni

NA SAMMY KIMATU MBUNGE wa Makadara, Bw George Aladwa amewataka wanafunzi ambao wamepigwa jeki ya basari kuongeza bidii maradufu na...

Tanzia mvulana wa miaka 17 akiangamiza msichana wa miaka 7  

NA MWANGI MUIRURI MWANAFUNZI wa kiume wa miaka 17 kutoka Kaunti ya Kirinyaga ametiwa mbaroni kwa madai alimuua binamuye wa kike wa miaka...

Mwanablogu aliyeshtakiwa kuandika taarifa za kupotosha kuhusu Gavana aachiliwa

NA BRIAN OCHARO MWANABLOGU aliyeshtakiwa kuchapisha taarifa za kupotosha kuwa Gavana wa Kilifi Gideon Mung’aro aliibiwa Sh200 milioni...

Mpenzi wa zamani wa Ruben Dias amtema kiungo wa Sheffield kama chingamu

NA CHRIS ADUNGO KIUNGO mkabaji wa Sheffield United na timu ya taifa ya Brazil, Vinicius de Souza Costa, ameachwa kwa mataa baada ya...

Ongezeko la wahuni wa ‘Marachi Boys’ kwenye mikutano ya kisiasa lazua hofu

NA JESSE CHENGE KAMISHNA wa Kaunti ya Bungoma, Thomas Sankei, ametoa tahadhari kuhusu ongezeko la wahuni wanaoshiriki maandamano pamoja...

Weta kukabili wimbi la ‘Tawe’ la Natembeya

NA MERCY SIMIYU JOTO la kisiasa linatokota Magharibi mwa Kenya huku mvutano wa ubabe ukionekana kuchipuka baina ya Spika wa Bunge la...

Wakazi wakerwa hafla ya msaada ilipogeuzwa kuwa mkutano wa hadhara

Na SAMMY KIMATU WAATHIRIWA wa mafuriko kutoka mitaa kadhaa ya Mukuru katika tarafa ya South B, Nairobi walipandwa na hasira, baada ya...

Nashuku mke wangu anamgawia bosi wake asali, nishauri

Hujambo Shangazi, Mimi nashuku mke wangu analala na bosi wake. Nina hasira sana. Unajuaje kuwa mkeo analala na bosi wake? Ikiwa una...

Bei ya kahawa nchini yaendelea kuimarika

Na KNA KAHAWA ya Kenya imeendelea kuvutia bei katika Soko la Kahawa la Nairobi (NCE) kwa muda wa wiki mbili zilizopita. Wakati wa mauzo...

Raia wa Congo kusalia rumande katika kesi ya utapeli wa Sh156m kwenye dili ya madini

Na RICHARD MUNGUTI RAIA wa Congo anayeshtakiwa kuitapeli kampuni ya kutengeneza chuma Sh156 milioni akidanganya angeliiuzia madini adimu...