• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 3:04 PM
Bwawa Uhuru latapika maji na kuathiri baadhi ya wakazi wa Ruiru

Bwawa Uhuru latapika maji na kuathiri baadhi ya wakazi wa Ruiru

Na MWANDISHI WETU

BWAWA Uhuru lililopo mjini Ruiru limetapika maji Alhamisi asubuhi kutokana na mvua iliyopitiliza.

Wakazi wa mtaa wa Varsityville eneo la Kamakis wameathirika kukiwa na ripoti kwamba maji yameingia katika baadhi ya nyumba.

You can share this post!

UFUGAJI: Ng’ombe wa maziwa sasa ndiyo ajira yake

AKILIMALI: Utapata faida tele ukijitosa katika kilimo cha...

adminleo