• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 8:27 PM
SAKATA YA NYS: Orodha kamili ya samaki wote waliovuliwa katika ziwa la ufisadi

SAKATA YA NYS: Orodha kamili ya samaki wote waliovuliwa katika ziwa la ufisadi

Na VALENTINE OBARA

KUFUATIA sakata ya NYS ambapo Sh9 bilioni zilitoweka katika hali isiyoeleweka, idara ya upelelezi ikishirikiana na ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) imewatambua watu na kampuni zilizohusika katika ufisadi huo. Hii hapa orodha kamili ya washukiwa watakaoshtakiwa mahakamani:

Watumishi wa umma

  1. Lilian Omollo – Katibu wa Wizara ya Utumishi wa Umma, Vijana na Masuala ya Jinsia
  2. Richard Ndubai – Mkurugenzi Mkuu, NYS
  3. Sammy Michuki – Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu, NYS
  4. Nicholas O. Ahere – Naibu Mkurugenzi Mkuu, NYS
  5. Wellington A. Lubira – Kaimu Mkurugenzi wa Fedha, NYS
  6. Evans Kundu – Aliyekuwa msimamizi wa idara ya ufundi na kitengo cha usafiri, NYS
  7. Peter Waema – Aliyekuwa Naibu Msimamizi wa idara ya ufundi na kitengo cha usafiri
  8. Clement Murage – Aliyekuwa Mhasibu Mkuu, NYS
  9. Peter M. Muritu – Aliyekuwa Supriteni Mkuu, NYS
  10. Rogers Nzioka – Aliyekuwa Mkuu wa Ununuzi katika idara ya ufundi na kitengo cha usafiri
  11. Lucas Owino – Mkaguzi wa Mahesabu wa Ndani, Wizara ya Fedha
  12. Stephen Riungu – Mkaguzi wa Mahesabu wa Ndani, Wizara ya Fedha
  13. Peter Muthomi – Mkaguzi wa Mahesabu wa Ndani, Wizara ya Fedha
  14. George O. Ouma – Aliyekuwa msimamizi wa utendaji, Huduma Centre, NYS
  15. Josphat Njoroge – Mkaguzi wa Mahesabu wa Ndani, Wizara ya Fedha
  16. Humphrey Mbogo – Mhasibu, NYS
  17. Christopher M. Simbauni – Aliyekuwa Mhasibu Mkuu, NYS
  18. Sammy Mbugua – Mkuu wa Uhasibu, Wizara ya Utumishi wa Umma, Vijana na Masuala ya Jinsia
  19. Simon K. Kiiru – Mkuu wa Ununuzi, idara ya ufundi na kitengo cha usafiri
  20. Stephen Manyunzu – Mhasibu
  21. Tabitha Ndungu – Mhasibu
  22. Sophie K. Kinyua – Mtahini
  23. Welenalo Mulupi – Mtunza Ghala, idara ya ufundi na kitengo cha usafiri
  24. Ferdinand M. Odoyo – Mtunza Ghala, idara ya ufundi na kitengo cha usafiri
  25. Wellington Matano – Muidhinishaji wa kwanza
  26. Keziah W. Mwangi – Mfanyakazi, NYS
  27. Stella Biwott – Mfanyakazi, NYS
  28. Timothy K. Rotich – Mfanyakazi, NYS
  29. Jackson A. Juma – Mfanyakazi, NYS
  30. Isaiah Adalo – Mfanyakazi, NYS
  31. David Kirui – Mfanyakazi, NYS
  32. Jamal Duba – Mfanyakazi, NYS
  33. Julius Airo – Mfanyakazi, NYS
  34. Patrick Obunya – Mfanyakazi, NYS
  35. Ezekiel O. Osoro – Mfanyakazi, NYS
  36. Samuel Otieno – Mtengenezaji Bili
  37. Michael Ojiambo – Mkurugenzi wa Usimamizi, Wizara ya Utumishi wa Umma, Vijana na Masuala ya Kijinsia
  38. Stephen Macharia – Mtengenezaji Bili, NYS
  39. Don M. Kariungi – Mnunuzi wa IFMIS
  40. Kenneth M. Mwathi – Mnunuzi wa IFMIS

Wakurugenzi na wamiliki wa biashara

  1. Anne W. Ngirita (pichani)
  2. Phyllis Njeri
  3. Catherine W. Mwai
  4. Antony M. Wamiti
  5. Peter W. Kimani
  6. James Thuita
  7. Yvonne W. Ngugi
  8. Jeremiah Ngirita
  9. Lucy W. Ngirita
  10. Andrine G. Nyambura
  11. Catherine N. Kamuyu
  12. Serah Muguru
  13. Samwel Kanai
  14. James Katululu

Kampuni za kibiashara

  1. M/s Annwaw Investment
  2. M/s Njewanga Investments
  3. M/s Arkroad Holdings Limited
  4. M/s Kunjiwa Enterprises
  5. M/s Ameri Trade Limited
  6. M/s Ngiwaco Enterprises
  7. M/s Jerrycathy Enterprises
  8. M/s Firstling Supplies Limited
  9. M/s Kalabash Food Supplies Limited
  10. M/s Ersatz Enterprises

You can share this post!

Salah kuongoza mashambulizi ya Misri Kombe la Dunia licha...

NYS yafaa kuvunjwa na fedha hizo kufadhili elimu –...

adminleo