Tag: bunge
- by T L
- November 12th, 2021
JUMA NAMLOLA: Bunge lisitumiwe kama ‘danganya toto’ kuwapa wananchi matumaini hewa
Na JUMA NAMLOLA KUNA hekaya maarufu sana miongoni mwa wakazi wa Pwani. Aliyekuwa Seneta wa Kwale, marehemu Boy Juma Boy (Mola amrehemu),...
- by T L
- November 9th, 2021
Wabunge warejelea vikao huku wakitarajiwa kushughulikia miswada yenye umuhimu kitaifa
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa linarejelea vikao vyake Jumanne, Novemba 9, 2021, baada ya likizo fupi ya majuma mawili ambapo...
CHARLES WASONGA: Tukatae mswada wa kulipia wabunge bima ya afya
Na CHARLES WASONGA MWENENDO wa wabunge kujitakia makuu kila uchaguzi unapokaribia, jinsi inavyodhihirika katika mswada utakaojadiliwa...
Corona yanusuru Sh290 milioni bungeni
Na JOHN MUTUA KANUNI kali za kupambana na ueneaji virusi vya corona kimataifa, ziliwezesha Kenya kuokoa zaidi ya Sh289.3 milioni kwa...
Bunge kuzindua kanuni zake katika Kiswahili leo
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa linatarajiwa kupiga hatua muhimu katika matumizi ya lugha ya Kiswahili kuendeshea shughuli zake kwa...
Pigo kwa Bunge huku mahakama ikizima sheria 23
Na JOSEPH WANGUI MAHAKAMA Kuu imebatilisha Sheria 23 zilizopitishwa na Bunge la Taifa bila mchango wa seneti, ikisema zimekiuka...
- by adminleo
- November 27th, 2019
BBI: Bunge laahirisha vikao vya Jumatano
Na CHARLES WASONGA VIKAO vya bunge vya Jumatano, Novemba 27, 2019, vimeahirishwa kutoa nafasi kwa wabunge kuhuhuria hafla ya kuzinduliwa...
- by adminleo
- November 6th, 2019
RIBA: Wabunge wengi wasusia kikao cha asubuhi
Na CHARLES WASONGA BUNGE Jumatano limeahirisha kikao cha asubuhi mapema baada ya wabunge wengi kukosa kufika ukumbini katika kile...
- by adminleo
- June 23rd, 2019
Wabunge vijana wanavyozembea mijadala muhimu bungeni
Na NYAMBEGA GISESA WABUNGE vijana wameorodhoshwa miongoni mwa wasiochangia mijadala kwenye vikao vya bunge kwa miaka miwili...
- by adminleo
- May 9th, 2019
Wabunge wajitengea Sh7b bila kujali wananchi
Na BERNARDINE MUTANU WAKENYA watazidi kuumia kutokana na ari ya wabunge kujitwalia pesa zaidi bila kujali maslahi ya wananchi. Sasa...
- by adminleo
- April 4th, 2019
Ahadi za Rais bungeni bado hewa
Na LEONARD ONYANGO TANGU alipochukua hatamu za uongozi mnamo 2013, Rais Uhuru Kenyatta amekuwa akiahidi Wakenya mengi kupitia hotuba...
- by adminleo
- February 5th, 2019
Shughuli nyingi zinazoisubiri Bunge kuanzia Februari 12
Na CHARLES WASONGA BUNGE la Kitaifa linarejelea vikao vyake mnamo Februari 12, 2019 baada ya likizo ndefu ya Krismasi na Mwaka Mpya huku...