Tag: caf
- by T L
- December 7th, 2021
Caf: Maswali tele kuhusu maandalizi ya Tusker, Gor
Na CECIL ODONGO KWA mara nyingine timu za Kenya zimefeli kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Mashirikisho hali hiyo ikizua maswali...
CAF yaunga mkono pendekezo la Kombe la Dunia kuandaliwa kila baada ya miaka miwili
Na MASHIRIKA BARA la Afrika limeunga mkono pendekezo la fainali za Kombe la Dunia kuandaliwa kila baada ya miaka miwili licha ya kwanza...
- by adminleo
- September 11th, 2019
Afriye na Ojwang watarajiwa kupatia Gor nguvu mpya CAF
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA mara 18 na washikilizi wa taji la Ligi Kuu ya Kenya (KPL), Gor Mahia wamepigwa jeki na marejeo ya masogora...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Rais wa CAF abambwa kuhusu kandarasi ya Sh84m
Na GEOFFREY ANENE RAIS wa Shrikisho la Soka barani Afrika (CAF) Ahmad Ahmad amekatwa, tovuti ya Jeune Afrique nchini Ufaransa imeripoti...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Rais wa CAF akamatwa kwa utoaji wa kandarasi ya Sh84.4 milioni bila kuhusisha maafisa wenzake
Na GEOFFREY ANENE na MASHIRIKA RAIS wa Shrikisho la Soka barani Afrika (CAF) Ahmad Ahmad amekamatwa, tovuti ya Jeune Afrique nchini...
- by adminleo
- January 15th, 2019
Je, Gor bado ina nafasi ya kuingia mechi za makundi CAF?
Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa Gor Mahia wanaamini mabingwa hawa wa Kenya wameshaaga soka ya Kombe la Mashirikisho la Afrika baada ya...
- by adminleo
- January 10th, 2019
Madifenda wawili wa Gor wapigwa marufuku na CAF
Na GEOFFREY ANENE MIAMBA wa Kenya, Gor Mahia watakosa huduma za mabeki muhimu Haron Shakava na Joash Onyango dhidi ya New Star ya Cameroon...
- by adminleo
- September 19th, 2018
CAF yaizaba Gor faini ya Sh500,000 kwa kuzua ghasia Kasarani
Na CECIL ODONGO MABINGWA mara 17 wa KPL Gor Mahia wamepigwa faini ya Sh500,000 na Shirikisho la soka Barani Afrika (CAF) kutokana na...
- by adminleo
- August 10th, 2018
Wachezaji 3 wa Rayon Sports wapigwa marufuku mechi ya Gor Mahia ikinukia
NA CECIL ODONGO SHIRIKISHO la soka Barani Afrika (CAF) limewapiga marufuku wachezaji watatu wa Rayon Sports kwa kuzua vita ndani ya...
- by adminleo
- February 26th, 2018
Kenya U-20 kujipima nguvu na TZ na Misri kabla ya kuvaana na Rwanda
Na GEOFFREY ANENE KENYA na Rwanda zitapigania tiketi moja ya kushiriki mechi za raundi ya pili ya kufuzu kushiriki Kombe la Afrika la soka...
- by adminleo
- February 12th, 2018
AFC Leopards pabaya katika CAF baada ya kukubali sare
[caption id="attachment_1272" align="aligncenter" width="800"] Duncan Otieno (kulia) wa AFC Leopards apambana na Piepre Michael Tavina...