Tag: juja
Wanafunzi kadhaa Juja washindwa kujiunga na Kidato cha Kwanza kwa kukosa karo
Na LAWRENCE ONGARO WAZAZI wengi katika vijiji vya Maraba, Nyachaba na Ndarugu, eneo la Juja, wanataka Wizara ya Elimu kuingilia kati...
Raia 104 wa Ethiopia watiwa mbaroni baada ya kupatikana wakiishi kwenye nyumba ya vyumba vitatu Juja
Na LAWRENCE ONGARO RAIA 104 wa Ethiopia walinaswa eneo la Juja katika Kaunti ya Kiambu. Inadaiwa walipatikana katika mtaa wa Matangi,...
Wachomea Rais picha
Ruto apenya nyumbani kwa Uhuru, Raila aendeleza ushawishi Nyanza VIONGOZI walioongoza kampeni za chama cha tawala cha Jubilee kwenye...
Shughuli ya kuhesabu kura Juja yaendelea baada ya vurugu kutokea usiku
Na LAWRENCE ONGARO UCHAGUZI mdogo wa Juja ulikamilika Jumanne lakini vurumai zikishuhudiwa usiku wakati kura zilikuwa zikihesabiwa...
Idadi ndogo ya wapigakura yashuhudiwa kwenye uchaguzi mdogo Juja
Na LAWRENCE ONGARO UCHAGUZI mdogo wa kiti cha ubunge Juja umefanyika Jumanne huku idadi ndogo ya wapigajikura ikishuhudiwa. Usalama...
Usalama waimarishwa Juja tayari kwa uchaguzi mdogo Jumanne
Na LAWRENCE ONGARO UCHAGUZI mdogo wa kiti cha ubunge Juja utafanyika Jumanne, Mei 18, 2021, na tayari wapigakura wamehimizwa watawanyike...
Mwaniaji kiti cha ubunge Juja kupandishwa kizimbani Aprili 26
Na LAWRENCE ONGARO MWANIAJI wa kiti cha ubunge Juja, Bw George Koimburi, alitoka mafichoni mnamo Alhamisi, baada ya kusakwa na maafisa...
IEBC yaidhinisha wawaniaji 6 wa ubunge Juja
Na LAWRENCE ONGARO TUME ya uchaguzi ya IEBC iliwaidhinisha wagombezi sita wa ubunge katika kiti cha Juja. Zoezi hilo lililofanyika mnamo...
JAMVI: Kipute kikali kati ya Rais Kenyatta na Ruto chatarajiwa Juja Mei 18
Na MWANGI MUIRURI UCHAGUZI mdogo wa eneobunge la Juja unatazamiwa kutoa taswira kamili kuhusu ushindani kati ya Rais Uhuru Kenyatta na...
TANZIA: Mbunge wa Juja afariki
SIMON CIURI na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Juja Francis Munyua Waititu amefariki baada ya kuugua kansa ya ubongo kwa kipindi...
- by adminleo
- May 22nd, 2020
Wakazi wa Juja wanaopitia hali ngumu waisihi serikali iwapelekee chakula
Na LAWRENCE ONGARO WAKFU wa Jungle Foundation unazuru maeneo mbalimbali ya Kaunti ya Kiambu kwa minajili ya kutoa chakula na vifaa vya...
- by adminleo
- January 23rd, 2020
Jinsi washukiwa watatu wa uhalifu walivyouawa Juja
Na LAWRENCE ONGARO WASHUKIWA watatu wa ujambazi waliovamia kijiji cha Nyacaba, kaunti ndogo ya Juja, wameuawa na maafisa wa...