• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 1:14 PM

Mibabe kutoana kijasho leo

MANCHESTER, Uingereza Na MASHIRIKA Mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza, zitapamba moto leo wakati miamba Manchester...

Man-City wang’aria Club Brugge huku chipukizi Cole Palmer akiweka rekodi ya ufungaji katika soka ya UEFA

Na MASHIRIKA RIYAD Mahrez alifunga mabao mawili katika mchuano wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) ulioshuhudia waajiri wake Manchester City...

Liverpool, Manchester City nguvu sawa ligini

Na MASHIRIKA MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City pamoja na Liverpool walitarajia kudengua Chelsea kudengua...

Manchester City wazidisha masaibu ya Arsenal katika EPL

Na MASHIRIKA MASAIBU ya Arsenal katika kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu yameendelea baada ya kupokezwa kichapo kinono...

Man-City kukutana na PSG huku Liverpool wakitiwa katika zizi gumu la UEFA msimu huu

Na MASHIRIKA MABINGWA wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL), Manchester City, wametiwa katika Kundi A kwa pamoja na Paris Saint-Germain (PSG), RB...

Manchester City kusubiri zaidi kutwaa taji la EPL baada ya kupigwa 2-1 na Chelsea

Na MASHIRIKA SERGIO Aguero alipoteza penalti katika mchuano wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) ulioshuhudia Chelsea wakiwapokeza kichapo cha...

Manchester City wazamisha chombo cha PSG na kuingia fainali ya UEFA kwa mara ya kwanza katika historia

Na MASHIRIKA MANCHESTER City walitinga fainali ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) kwa mara ya kwanza katika historia baada ya kuwapepeta Paris...

Klabu zote sita za EPL zilizokuwa zimejiunga na European Super League (ESL) zajiondoa kwenye kipute hicho kipya

Na MASHIRIKA KLABU sita za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) zilizokuwa zimejiunga na pambano jipya la European Super League (ESL) sasa...

Manchester City wazamisha chombo cha Arsenal na kuanza kunusia taji la EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Pep Guardiola amesema anashangazwa na ubora wa fomu ya kikosi chake cha Manchester City wakati ambapo wapinzani wao...

Manchester City wakomoa Spurs na kuendeleza ubabe wao katika EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER City waliendeleza ubabe wao katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo Jumamosi kwa kuwapiga Tottenham Hotspur 3-0...

Man-City watoka sare na Porto na kukamilisha kampeni za Kundi C kileleni

Na MASHIRIKA LICHA ya kuambulia sare tasa dhidi ya FC Porto ugenini, Manchester City wana uhakika wa kukamilisha kampeni za Klabu Bingwa...

Manchester City waponea adhabu baada ya CAS kubatilisha maamuzi ya Uefa

Na MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA IMEKUWA afueni kubwa kwa Manchester City baada ya mahakama ya kimataifa ya mizozo ya spoti (CAS)...