• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Sonko ahemesha Omar kampeni za kusaka ugavana

NA JURGEN NAMBEKA KAMPENI za mgombeaji ugavana Mombasa kupitia Chama cha UDA, Bw Hassan Omar, zimeshika kasi tangu aliyekuwa gavana wa...

Sonko amtaka Raila aachane na ‘suti’

NA WINNIE ATIENO ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, amemtaka mgombeaji urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila...

Yafichuka Sonko alilindwa na polisi 33 ziarani

NA COLLINS OMULO ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Sonko, alikuwa akitumia maafisa 33 wa polisi kumlinda akizuru maeneo tofauti nchini,...

Sonko ajiengua kutoka kwa Jubilee

NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA gavana wa Nairobi Mike Sonko amejiuzulu kama mwanachama wa chama tawala cha Jubilee. Katika barua...

Sonko, familia yake wapigwa marufuku ya kuingia Amerika

NA JOSEPH WANGUI ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Mike Mbuvi Sonko pamoja na familia yake wamepigwa marufuku kusafiri Amerika. Hii ni...

Sonko awa mwiba kwa wanasiasa na maafisa serikalini

Na BENSON MATHEKA ALIYEKUWA gavana wa Nairobi Mike Sonko amekuwa sumu kwa wanasiasa na maafisa wa serikali wanaohofia kuwa huenda...

Sonko anaugua maradhi ya ubongo na moyo, hawezi kuendelea na kesi – Mahakama

Na RICHARD MUNGUTI RIPOTI ya daktari wa tiba za akili imesema Alhamisi kuwa aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko anaugua maradhi ya...

Sonko apelekwa kortini kwa ambulensi

Na BENSON MATHEKA ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Mike Sonko amefikishwa katika mahakama ya Kiambu kwa ambulensi kutoka hospitali alimolazwa...

Sonko augua akiwa rumande, alazwa hospitalini

Na BENSON MATHEKA ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Mike Sonko, amelazwa hospitalini saa chache kabla ya kufikishwa korti ya Kiambu ambako...

Koma kulia, pambana kama mwanamume, hakimu amwambia Sonko

Na RICHARD MUNGUTI KAMA kuna wakati wenye changamoto tele kwa aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko ni sasa. Maji yalizidi unga hata...

EACC yawazima Sonko na Baba Yao

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa zamani wa Kiambu Ferdinand Waititu na mwenzake wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko wamepata pigo baada ya Tume ya...

Mrithi wa Sonko jijini aanza kusakwa

Na COLLINS OMULO SIKU chache baada ya aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko kufurushwa mamlakani na Seneti, harakati za kisiasa...