Tag: mkasa
Familia ya mwanamume aliyepata ulemavu mikononi mwa wanaosemekana kuwa ni maafisa wa polisi yadai haki
Na MISHI GONGO FAMILIA moja mjini Mombasa inadai haki baada ya jamaa wao Bw Joseph Macharia kupata ulemavu kupitia kipigo alichopata...
- by adminleo
- April 28th, 2020
MKASA: Stovu yasababishia familia majeraha
Na GEOFFREY ANENE MAMA mmoja kutoka mtaani Kariobangi South Civil Servants anataka kampuni ya kuunda majiko ya KOKO Networks iondoe...
- by adminleo
- March 11th, 2020
Mafundi wawili wafariki baada ya kufunikwa na mchanga Tudor
Na MISHI GONGO WANAUME wawili wamefariki mjini Mombasa jana Jumanne baada ya kufunikwa na mchanga walipokuwa wakitekeleza shughuli ya...
- by adminleo
- December 7th, 2019
Gari lingine latumbukia baharini, uokoaji waendelea
NA AHMED MOHAMED GARI moja ndogo limetumbukia baharini katika kivuko cha Likoni Jumamosi alfajiri miezi miwili baada ya gari lingine...
- by adminleo
- November 24th, 2019
37 wazikwa hai
Na OSCAR KAKAI na BENSON MATHEKA Novemba 22 2019: Watu watatu wasombwa na maji katika visa viwili tofauti Mbooni, Makuen Oktoba 30...
- by adminleo
- September 24th, 2019
Mapuuza yazua mauti shuleni
Na VALENTINE OBARA SHULE ya Msingi ya Precious Talents iliyo katika Wadi ya Ngando, eneobunge la Dagoretti Kusini ilikuwa sawa na mtego...
- by adminleo
- September 23rd, 2019
Yabainika ujenzi wa jengo lilioua wanafunzi 7 ulikuwa duni
NA PETER MBURU SHULE ya msingi ya Precious Talent Academy ambapo wanafunzi saba walifariki Jumatatu asubuhi baada ya sehemu ya jengo...
- by adminleo
- June 28th, 2018
MKASA WA GIKOMBA: Moto uliwashwa makusudi, wadai wafanyabiashara
Na WANDERI KAMAU MIVUTANO kuhusu ardhi na ushindani wa kibiashara ndizo sababu kuu zinazodaiwa kupelekea vifo vya watu 15 kwenye moto...
- by adminleo
- May 16th, 2018
Rais awavulia kofia wenyeji eneo la Solai
Na VALENTINE OBARA WAKAZI wa Solai, Kaunti ya Nakuru wamesifiwa kuwa mashujaa kwa ujasiri walioonyesha walipookoa wenzao wakati bwawa...
- by adminleo
- May 13th, 2018
Baada ya mkasa wa Solai, maelfu sasa wanaishi kwa hofu
NA PETER MBURU Mkasa wa bwawa la Solai ambao uliwaua zaidi ya watu 40 sasa umeamsha hofu ya miaka mingi baina ya maelfu ya wakazi wa...
- by adminleo
- May 11th, 2018
SOLAI: Serikali yaondoa maji katika mabwawa mengine mawili
Na ERIC MATARA WAHANDISI wa serikali Ijumaa waliondoa maji yaliyokuwa katika mabwawa mengine mawili yaliyo karibu na bwawa la Patel,...
- by adminleo
- May 11th, 2018
DPP amtaka Boinnet ampe ripoti ya uchunguzi wa mkasa wa Solai kwa siku 14
Na ERIC MATARA Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Ijumaa alitaka uchunguzi ufanywe kubaini kiini cha mkasa wa bwawa la Patel eneo la...