Tag: NGILU
Msipoungana msahau urais milele, Ngilu aambia vinara wa Nasa
Na BENSON MATHEKA GAVANA wa Kitui, Bi Charity Ngilu anasisitiza kuwa vinara wa NASA wasipoungana kabla ya uchaguzi mkuu wa 2022, wasahau...
JAMVI: Mbio za Ngilu kutuliza zogo, uasi katika ODM
Na BENSON MATHEKA HATUA ya Gavana Charity Ngilu wa Kitui ya kukutanisha Kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga na washirika wake James...
- by adminleo
- July 10th, 2020
Korti yarusha Ngilu kwenye kinywa cha mamba
Na KITAVI MUTUA HATIMA ya utawala wa Gavana wa Kitui, Bi Charity Ngilu, sasa imo mikononi mwa madiwani baada ya Mahakama Kuu kukataa...
- by adminleo
- June 17th, 2020
Ngilu atia makali madiwani wakipanga kumng’atua uongozini
Na BONIFACE MWANIKI GAVANA wa Kitui, Bi Charity Ngilu amesemekana kuanza juhudi za kuvunja serikali hiyo baada ya habari kumfikia kuwa...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Ngilu azindua ambulansi 10 kusaidia wagonjwa mahututi
Na KITAVI MUTUA Gavana wa Kitui, Bi Charity Ngilu Jumanne alizindua ambulansi 10 ambazo zitatumika kuwahudumia wakazi hasa wakati wa...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Rungu la EACC laelekezwa kwa Ngilu
Na BONIFACE MWANIKI TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) sasa imeelekeza macho yake kwa serikali ya Kaunti ya...
- by adminleo
- November 30th, 2019
Ngilu kulipa nusu milioni kwa kupotosha seneti
Na CHARLES WASONGA na DAVID MWERE GAVANA wa Kaunti ya Kitui, Charity Ngilu, atalazimika kulipa Sh500,000 kama faini kwa kuwasilisha...
- by adminleo
- September 5th, 2019
Masaibu huku hospitali kuu ikifungwa bila notisi
Na BONIFACE MWANIKI WAKAZI wa Kyuso katika eneobunge la Mwingi Kaskazini, kaunti ya Kitui, wamelalamikia vikali hatua ya kufungwa kwa...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Ngilu asimulia mahakamani alivyoponea kifo
NA KITAVI MUTUA GAVANA wa Kitui Charity Ngilu Jumatano alielezea Mahakama ya Kitui alivyoponyoka kifo kwa tundu la sindano 2016 wakati...
- by adminleo
- December 17th, 2018
Muafaka wa Uhuru na Raila wafaa kuwaletea Wakamba maendeleo – Ngilu
NA STEPHEN MUTHINI GAVANA wa Kitui Bi Charity Ngilu amesema kuwa ushirikiano kati ya viongozi wa kisiasa ulioundwa baada ya muafaka Rais...
- by adminleo
- November 16th, 2018
Hatimaye Mutua akubali kushirikiana na Ngilu na Prof Kibwana
CHARLES WASONGA na STEPHEN MUTHINI GAVANA wa Machakos, Dkt Alfred Mutua Ijumaa alikutana na wenzake, Prof Kivutha Kibwana (Makueni) na...
- by adminleo
- April 9th, 2018
MAKALA MAALUM: Wiper yaanza kusaka kura za 2022 mapema
Na KITAVI MUTUA CHAMA cha Wiper kimeanza mikakati ya kuwarai vijana kutoka sehemu mbalimbali nchini kujiunga nacho kwenye harakati za...