Tag: sensa
- by adminleo
- March 3rd, 2020
SENSA: Kuna wakulima milioni 6.4 pekee nchini
Na DIANA MUTHEU Kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu lakini kulingana na ripoti moja, kati ya watu milioni 47.9 nchini, ni milioni...
- by adminleo
- February 26th, 2020
SENSA: Wakenya milioni 7 hawajasoma
Na DIANA MUTHEU WATU 7.1 milioni hawajawahi kuhudhuria shule hata siku moja, ripoti moja imeeleza. Kulingana na matokeo ya Sensa ya...
- by adminleo
- February 26th, 2020
SENSA: Simu nyingi nchini zinamilikiwa na wanawake
Na DIANA MUTHEU WANAWAKE wengi nchini Kenya wana simu za mkono kuliko wanaume, ripoti iliyoandaliwa na Shirika la Takwimu Nchini (KNBS),...
- by adminleo
- February 24th, 2020
SENSA: Kina mama 180,000 hujifungulia nyumbani
Na PETER MBURU LICHA ya mpango wa serikali wa afya kwa wote na kuondoa mfumo wa kulipisha kina mama wanaotafuta huduma za kujifungua...
- by adminleo
- February 24th, 2020
SENSA: Walemavu wengi ni wanawake
Na PETER MBURU WANAWAKE wengi wako na ulemavu ikilinganishwa na wanaume, kulingana na ripoti ya sensa iliyofanywa 2019. Ripoti hiyo...
- by adminleo
- February 24th, 2020
SENSA: Wakenya 20,000 hulala nje penye baridi kila siku
Na PETER MBURU WATU wapatao 20,101 hulala nje penye kibaridi kila siku kwa kukosa makao, kulingana na takwimu zilizotolewa na Shirika la...
- by adminleo
- February 24th, 2020
SENSA: Wakenya 14,000 wana umri wa zaidi ya miaka 100
Na PETER MBURU KENYA ilikuwa na wazee 14,040 wanaozidi umri wa miaka 100 kufikia Agosti 2019, wakati hesabu ya watu kote nchini...
- by adminleo
- February 24th, 2020
TAHARIRI: Idadi ya watu isizidi maendeleo ya nchi
Na MHARIRI KILA mara ripoti kuhusu takwimu za watu nchini zinapotolewa, suala linaloibuka miongoni mwa wananchi wengi ni kuhusu...
- by adminleo
- November 11th, 2019
Matokeo ya sensa kaunti yangu yanaogofya – Lonyangapuo
Na Oscar Kakai GAVANA wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Profesa John Lonyangapuo amepuuzilia mbali matokea ya sensa ya kaunti hiyo akidai...
- by adminleo
- November 10th, 2019
JAMVI: Matokeo ya sensa kuzaa miungano mipya ya kisiasa
Na BENSON MATHEKA Matokeo ya sensa, yaliyotolewa Jumatatu wiki hii, yameanza kuzua joto huku wanasiasa wakitilia shaka idadi ya wakazi...
- by adminleo
- November 9th, 2019
Kiraitu, Linturi kulinda Meru ‘isivamiwe’ kisiasa
Na DAVID MUCHUI VIONGOZI wa kisiasa katika Kaunti ya Meru wameapa kulinda eneo hilo dhidi ya ‘uvamizi’ wa wapinzani wao, huku...
- by adminleo
- November 7th, 2019
MBURU: Viongozi watakao wakazi wazaane wamejaa ubinafsi
Na PETER MBURU MATOKEO ya sensa yaliyotolewa na serikali wiki hii yameanika hila za baadhi ya viongozi wa kisiasa nchini tena, ambao...