• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 5:29 PM

Matumaini tele kiwanda cha sukari kianze kunguruma tena

Na SHABAN MAKOKHA KIWANDA cha sukari cha Mumias ambacho hakijakuwa kikihudumu kwa muda wa miaka mitatu baada ya kuporomoka, huenda...

Serikali kuharibu sukari ya Sh1 bilioni kutoka Zimbabwe

Na LEONARD ONYANGO SERIKALI imepanga kuharibu sukari ya thamani ya mamilioni ya fedha kutoka Zimbabwe ambayo imekuwa katika Bandari ya...

Mswada wa mbunge kuinua sekta ya sukari

Na BRIAN OJAMAA MBUNGE wa Kanduyi Wafula Wamunyinyi amesema kuwa mswada kuhusu sekta ya sukari aliowasilisha Bungeni unalenga kuboresha...

Kampuni ya Mumias mbioni kurejelea usagaji wa miwa

Na SHABAN MAKOKHA KAMPUNI ya Sukari ya Mumias imeanza shughuli za kuhesabu miwa ili kubaini idadi iliyopo, ikilenga kurejelea tena...

AWINO: Wanasiasa wasitatize ufufuzi wa sekta ya sukari

Na AG AWINO IWAPO umewahi kuishi karibu na kampuni za kusaga miwa nchini, basi unaelewa maana ya ‘moshi mweupe’. Moshi huu huleta...

Musalia, Wetang’ula wataka hakikisho kuhusu sukari

Na DENNIS LUBANGA KIONGOZI wa Chama cha Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford Kenya, Moses Wetang’ula,...

Viongozi Magharibi wamtaka Rais atimize ahadi ya kufufua sekta ya sukari

SHABAN MAKOKHA na CHARLES WASONGA WABUNGE wa Jubilee kutoka Magharibi mwa Kenya wameitaka serikali kufadhili mpango wa ustawishaji...

Visa vya akina mama kulipwa miraa mabinti wakilala na wazee vyaripotiwa Lamu

Na KALUME KAZUNGU BAADHI ya akina mama kwenye vijiji vingi vya Waboni, Kaunti ya Lamu wamelaumiwa kwa kushawishika kulipwa miraa na...

SEKTA YA SUKARI: Ripoti ya kufufua sekta ya sukari yatoa tumaini jipya kwa wadau

Na AG OWINO MAPENDEKEZO ya mageuzi katika sekta ya sukari ambayo yamekuwa yakisukumwa na Tume ya Kubinafsisha Mashirika ya Serikali...

Rais aahidi kutekeleza mapendekezo ya sukari

Na PSCU RAIS Uhuru Kenyatta ameahidi kuwa serikali itatekeleza mapendekezo ya jopokazi kuhusu sukari kama sehemu ya juhudi zinazoendelea...

Wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Mumias watimuliwa

Na SHABAN MAKOKHA KANDARASI za wafanyakazi wote wa kiwanda cha sukari cha Mumias zimefutwa huku meneja mrasimu akisema anapanga kuajiri...

Oparanya ashutumu wanaopinga juhudi za kufufua Mumias Sugar

Na SHABAN MAKOKHA GAVANA wa Kakamega Wycliffe Oparanya amewashutumu baadhi ya wanasiasa kutoka eneo la Magharibi kwa kupanga njama ya...