• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:25 PM

Mshukiwa wa ujambazi asimulia walivyoua wanawake alipokuwa genge la Confirm Nakuru

Na JOSEPH OPENDA MAKOSA ya mshukiwa mkuu katika mauaji ya kinyama ya wanawake katika eneo la Mawanga, Kaunti ya Nakuru, yaliyotekelezwa...

Mkurugenzi wa zamani wa makavazi Mzalendo Kibunjia ashtakiwa kwa wizi wa Sh491m

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI mkuu wa zamani wa makavazi ya kitaifa (NMK) Mzalendo Kibunjia ameshtakiwa kwa ulaghai wa Sh491...

Mtajuta kuturushia makombora, Mkuu wa Jeshi Israel aambia Iran akiapa kulipiza kisasi

Na MASHIRIKA JERUSALEM, Israel MKUU wa Jeshi la Israel Herzi Halevi ameapa kujibu shambulio la Iran huku miito ya kuitaka Israeli...

Spika wa Nairobi mashakani kwa ‘kulazimisha’ salamu na mwanamke Muislamu

NA NDUBI MOTURI  SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Ken Ng’ondi amejikuta mashakani baada ya video kufichuka ikimuonyesha...

Mudavadi anavyocheza karata yake ya kisiasa chini ya maji

Na JUSTUS OCHIENG MKUU wa Mawaziri Musalia Mudavadi anajaribu kung’aa katika utawala wa Kenya Kwanza huku akiendesha mikakati ya...

Kesi ya uhalifu dhidi ya Trump yaanza kusikizwa baada ya kuahirishwa mara kadhaa

Na MASHIRIKA NEW YORK, Amerika KESI ya uhalifu dhidi ya Rais wa zamani wa Amerika Donald Trump ilianza Jumatatu jijini New York na...

Kilio cha wakulima wa miwa ikielekea kuozea shambani

NA VICTOR RABALLA WAKULIMA wa miwa sasa wanaitaka Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) kuamuru viwanda vya kutengeneza sukari kurejelea...

Maafa ya mwanamke ndani ya shamba la Kakuzi    

NA MWANGI MUIRURI UTATA umezuka kuhusu mauti ya Bi Agnes Njeri Mwaniki wa miaka 62 aliyefariki akiwa katika shamba la kampuni ya Kakuzi...

Wakenya kupata afueni zaidi matatu zikipanga kushusha bei  

NA CHARLES WASONGA UONGOZI wa Muungano wa Wamiliki wa Matatu Nchini (MOA) umedokeza kuwa unashauriana na wanachama wao kwa lengo la...

Wakenya wataka bei ya gesi ipunguzwe baada ya stima kushuka  

NA WANDERI KAMAU HATUA ya Kampuni ya Umeme Kenya (KP) kupunguza bei ya umeme kwa kiwango kikubwa, ni mwisho wa safari ya vilio vingi...

Bwanyenye adinda kufika kortini kujibu kesi ya wizi wa mafuta ya ndege

NA RICHARD MUNGUTI BWANYENYE Yagnesh Mohanlal Devani Jumatatu, Aprili 15, 2024 alikosa kufika kortini kwa mara ya tatu mfululizo wakati...

Afisa wa polisi anayetaka apewe kazi ya kuhubiria wenzake na vijana

NA RICHARD MUNGUTI AFISA wa Polisi ameisihi Mahakama ya Nairobi imruhusu aanze kuhubiria vijana na maafisa katika idara ya polisi...