• Nairobi
  • Last Updated May 29th, 2023 9:37 PM

Kalonzo: Wangejaribu kuiba mbuzi wangu Machakos wasingetoka humo

NA SAMMY WAWERU KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka amedai kulikuwa na njama kuvamia shamba lake Yatta, Machakos ila wahuni...

Raila Odinga katika Kongamano la Kitaifa la Jubilee

[caption id="attachment_125091" align="aligncenter" width="500"] Viongozi na wanasiasa waliohudhuria Kongamano la Kitaifa la Jubilee Mei...

Kioni: Wabunge wa Azimio waliuza uspika bungeni Sh50

NA SAMMY WAWERU KATIBU Mkuu chama cha Jubilee Jeremiah Kioni amedai baadhi ya wabunge Azimio waliuza wadhifa wa spika, anaosema...

Kongamano la Kitaifa la Jubilee

  Rais mstaafu Uhuru Kenyatta katika Kongamano la Kitaifa la Jubilee, Jumatatu, Mei 22, 2023.   Picha / LUCY WANJIRU

Ruto anavyolenga kupokonya Raila Baraza la Waluo

Na RUSHDIE OUDIA na CHARLES WASONGA KUCHELEWESHWA kwa uchaguzi wa mwenyekiti mpya wa Baraza la Wazee wa Jamii ya Waluo kuchukua nafasi...

Raia wa kigeni ‘anayeuza’ watu afurushwa

NA BRIAN OCHARO SERIKALI ya Kenya imemtangaza raia wa Canada Asif Amirali Alibhai Jetha ambaye alihusishwa na biashara haramu ya...

Kaunti yatoa ilani kuzika miili

NA MERCY KOSKEI SERIKALI ya Kaunti ya Nakuru imetoa ilani ya siku 21 kuzika miili 17 iliyohifadhiwa katika Hifadhi ya Hospitali ya Rufaa...

Baraza la kusimamia biashara ya vyuma chakavu laonya waharibifu wa miundomsingi

NA CHARLES WASONGA BARAZA la Kusimamia Biashara ya Vyuma Kuukuu (SMC) limetoa onyo kwa wadau wote katika sekta hiyo wanaoharibu...

Bajeti kusomwa Juni 15

NA CHARLES WASONGA WAZIRI wa Fedha Njuguna Ndung’u atasoma Bajeti ya Kitaifa ya Mwaka wa Kifedha wa 2023/2024 mnamo Juni 15,...

Jina la Mackenzie lagonga mawakili kama radi kortini

Na RICHARD MUNGUTI KUTAJWA kortini kwa jina la muhubiri Paul Mackenzie anayehusishwa na mauaji ya halaiki ya watu katika shamba la...

Dai wakristo wanateswa na serikali

Na RICHARD MUNGUTI MAWAKILI watano wa Pasta Ezekiel Odero ambaye akaunti 30 za kanisa lake, New Life Prayer Center and Church (NLPCC)...

Miguna Miguna aomba wahusika wa sukari ya sumu na Kemsa kufungwa 

Na WANGU KANURI WAKILI Miguna Miguna ameiomba serikali kuwafunga jelani wahusika wakuu wa kuuza sukari ya sumu kwa umma pamoja na wale...