• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 11:13 AM

Mwigizaji Bwire Ndubi aomba msaada wa kifedha kupata matibabu spesheli

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI katika kipindi cha Sultana Bwire Ndubi almaarufu 'Dida', anaomba msaada wa kumsaidia kuchangisha Sh7 milioni...

Zari: Siwezi kurudiana na Diamond ila ni mshikaji wangu sana

NA RAJAB ZAWADI KAMA kuna ma-ex ambao wameendelea kuwavuruga mashabiki wao kuhusiana na ukaribu wao, basi ni soshiolaiti Zari Hassan na...

Nina wawili ila kwa sasa mwenzenu niko singo, adai Samidoh

NA FRIDAH OKACHI WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii wanaofuatilia maisha ya wasanii wamebaki vinywa wazi baada ya mwanamuziki Samuel Muchoki...

Utafuatilia gozi la Liverpool dhidi ya Manchester United au mahojiano ya Rais Ruto kwa runinga?

NA MWANGI MUIRURI LEO Desemba 17, 2023, mwendo wa saa kumi na moja jioni, Arsenal na Brighton watakuwa ugani kusaka pointi za Ligi Kuu...

Wema Sepetu achukua hatua ya nadra kwa mwanamke wa kawaida

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Wema Sepetu amefanya uamuzi wa kumlea mtoto wa mpenzi wake Whozu na kumkubali kuwa wake. Anachukua uamuzi...

Nakubali tatizo ni mimi, Akothee asema akirejelea mahusiano yake yasiyodumu

NA SINDA MATIKO AKOTHEE anadai kuwa kujipenda kwake kupita maelezo ndio kumemkosti ndoa zake. Baada ya ndoa yake ya pili kudumu kwa miezi...

Oga Obinna: Namuombea Willy Paul arudi kwa Yesu, muziki wa kidunia haumfai

Na MWANDISHI WETU MWANAHABARI Steve Maghana almaarufu Oga Obinna amemshauri mwanamuziki Willy Paul kurejea katika uimbaji wa nyimbo za...

Mapenzi yamewatesa sana mastaa hawa, na hivi ndio wameamua kufanya…

NA SINDA MATIKO "NIMEAMUA kuupumzisha moyo wangu maana siku nyingi unateseka juu yangu. Kutwa kupelekwa puta na akili yangu eti kisa...

Rose Muhando akanusha kutapeli kanisa la mwimbaji Mkenya Ali Mukhwana Sh200,000

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI wa injili Rose Muhando kakanusha kutapeli kanisa la mwimbaji wa injili Ali Mukhwana Sh2o0,000. Siku chache...

Hivi unazijua skendo za ‘Papa Mokonzi’ Koffi Olomide anayepiga shoo kule ASK Jumamosi?

Na THOMAS MATIKO KWA mzee mwenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 60, utakachotarajia kutoka kwake ni wingi wa busara tu. Busara ya...

Zuchu aweka ua kulinda ngome ya penzi lake

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Zuhura Othman Soud almaarufu 'Zuchu' ameibua tetesi za kuwepo kwa mvutano kati yake na wapenzi wa zamani...

Carrol Sonie, Mulamwah waambiwa watoto si wa kuingizwa kwa mzozo wao

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Caroline Muthoni almaarufu Carrol Sonie amechukua hatua ambayo baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii...