Habari Mseto

KCB, Equity na Co-operative zashushwa na Moody's

February 20th, 2018 1 min read

Na BERNARDINE MUTANU

BENKI tatu za Kenya zimeshushwa hadhi na shirika la wawekezaji la Moody’s.

Benki hizo ni KCB, Equity na Co-operative. Benki hizo zilishushwa hadhi kutokana na kushuka kwa viwango vya serikali za upataji mikopo.

Katika taarifa, shirika hilo lilisema benki hizo zilikuwa zimeshukishwa kutoka kiwango cha B1 hadi B2.

Benki hizo zilishukishwa kutokana na kushukishwa kwa kiwango cha serikali ya Kenya kuhusiana na mikopo mapema