• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 1:51 PM

Mwanamume afa akiramba uroda lojing’i

Na CHARLES WANYORO  POLISI katika eneo la Maua, Igembe Kusini, Kaunti ya Meru wanachunguza kisa ambapo mfanyabiashara alipatikana amefia...

Mwanamume afariki, wawili waponea baada ya moto ndani ya lojing’i

Na SAMMY KIMATU MWANAMUME mmoja alifariki huku wengine wawili wakinusurika kifo kwa tundu la sindano baada ya moto kutokea ndani ya...

Kalameni atiwa adabu kukwepa kulipia danguro

Na TOBBIE WEKESA KAWANGWARE, NAIROBI Wapangaji kwenye ploti moja mtaani humu walitazama sinema ya bure baada ya polo kupewa viboko...

Demu ahepa na long’i ya polo lojing’i

Na John Musyoki ELDORET MJINI JAMAA mmoja mjini hapa alibubujikwa na machozi demu alipokataa katakata kumpa suruali yake wakiwa...

Kioja polo kulilia nje ya lango la lojing’i

Na Nicholas Cheruiyot Kericho Mjini Kulikuwa na tukio la kipekee katika lojing'i moja mjini hapa, polo alipodai kwamba alisahau...

Kiruka njia atoweka na long’i ya kalameni

Na SAMMY WAWERU NYERI MJINI Wakazi wa mji huu majuzi walitazama sinema ya bure kahaba alipotokomea na long'i ya jombi kwa kushindwa...

Mwanaume ang’atwa nyeti kwa kutolipia uroda lojing’i

Na LUCY MKANYIKA POLISI katika Kaunti ya Taita Taveta wanamsaka mwanamke aliyetoroka baada ya kuuma sehemu nyeti za mwanamume...

Walimu wafumaniwa lojing’i wakiwa na wanafunzi

Na JADSON GICHANA Maafisa wa Polisi eneo la Nyamache, Kaunti ya Kisii wameanzisha uchunguzi kubaini kisa ambapo walimu wawili walidaiwa...