• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 11:13 AM

Suarez afunga mabao mawili na kusaidia Atletico Madrid kutua kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA LUIS Suarez alifunga mabao mawili mwishoni mwa kipindi cha pili na kusaidia waajiri wake Atletico Madrid ambao ni mabingwa...

Atletico yakaribia kutwaa taji la La Liga baada ya Suarez kuokoa chombo chao mikononi mwa Osasuna

Na MASHIRIKA LUIS Suarez alifunga bao katika dakika za mwisho za kipindi cha pili na kusaidia waajiri wake Atletico Madrid kutoka nyuma...

Luis Suarez afunga goli lake la 500 kitaaluma na kudumisha Atletico kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA MSHAMBULIAJI mahiri raia wa Uruguay, Luis Suarez, 34, alifunga bao lake la 500 katika taaluma ya kusakata soka ya kitaaluma...

Tuchel awataka Chelsea kujihadhari dhidi ya mfumaji Luis Suarez wa Atletico Madrid

Na MASHIRIKA CHELSEA watakosa huduma za beki Thiago Silva katika mchuano wa leo wa mkondo wa kwanza wa Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) dhidi...

Atletico Madrid wakabwa koo na Celta Vigo huku Luis Suarez akiongoza orodha ya wafungaji bora La Liga

Na MASHIRIKA LUIS Suarez alifunga mabao mawili japo hayakusaidia Atletico Madrid kusajili ushindi dhidi ya Celta Vigo kwenye mechi ya...

Felix na Suarez waibeba Atletico dhidi ya Valencia ligini

Na MASHIRIKA JOAO Felix na Luis Suarez walisaidia waajiri wao - Atletico Madrid - kutoka nyuma na kuwapokeza Valencia kichapo cha 3-1...

Messi ahisi Suarez alinyimwa fursa ya kuondoka Barcelona kishujaa

Na MASHIRIKA LIONEL Messi alitumia mtandao wake wa Instagram kumuaga rasmi rafikiye Luis Suarez ambaye aliondoka Barcelona kwa wingi wa...

Suarez kujiunga na Atletico Madrid

Na MASHIRIKA BARCELONA wamekubali kumwachilia mshambuliaji Luis Suarez ajiunge na washindani wakuu katika Ligi Kuu ya Uhispania (La...