• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 3:03 PM

Bwawa hatari kwa wakazi Nyeri

Na SAMMY WAWERU Barabara inayounganisha mji wa Nyeri na Karatina ni yenye shughuli chungu nzima za usafiri na uchukuzi, ikizingatiwa...

Wito jopo liundwe kuchunguza vifo vya wanafunzi 14

DERICK LUVEGA NA WANDERI KAMAU SWALI "ni nini kilichosababisha vifo vya wanafunzi 14 wa shule ya Msingi ya Kakamega" ndilo lililotawala...

Maporomoko ya ardhi yasababisha maafa China

Na AFP BEIJING, China WATU tisa wamefariki na wengine 35 bado hawajulikani waliko kufuatia msururu wa maporomoko ya ardhi...

Mvua ya mauti watu 22 wakiangamia

Na WAANDISHI WETU ZAIDI ya watu 22 walifariki dunia Jumanne kwenye mikasa miwili tofauti inayohusiana na mvua, huku idara ya utabiri wa...

Mafuriko yasababisha vifo zaidi

Na WAANDISHI WETU TAKRIBAN watu 15 wamekufa na wengine kujeruhiwa huku mali yenye thamani ya mamilioni ya pesa ikiharibiwa na mvua kubwa...

MAAFA YA MVUA: Watu tisa waangamia

Na WAANDISHI WETU WATU tisa walifariki katika maeneo mbalimbali ya nchi kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha, ambayo pia...