Tag: miguna miguna
- by T L
- December 1st, 2021
Wakili wa Serikali aagiza Miguna aruhusiwe kurudi
Na WANDERI KAMAU WAKILI Mkuu wa Serikali, Bw Ken Ogeto, ameziagiza wizara za Mashauri ya Kigeni na Usalama wa Ndani kuhakikisha wakili...
- by T L
- November 23rd, 2021
Miguna adai balozi alipuuza amri ya korti
Na RICHARD MUNGUTI WAKILI Miguna Miguna jana alilalama vikali kwamba, Ubalozi wa Kenya nchini Ujerumani ulimnyima stakabadhi za usafiri...
- by T L
- November 15th, 2021
Miguna Miguna adai serikali imemzuia kurejea nchini
Na CHARLES WASONGA WAKILI Miguna Miguna sasa anadai kuwa serikali imemzuia kurejea nchini kwa kuagiza mashirika ya ndege ya kigeni...
Pigo kwa Serikali korti ikiruhusu Miguna kurejea
Na RICHARD MUNGUTI SERIKALI imepata pigo tena baada Mahakama ya Rufaa kuruhusu mwanaharakati, na wakili mbishi, Dkt Miguna Miguna...
Miguna aahidi kuzima ufisadi Nairobi
Na CHARLES WASONGA MWANASHERIA mbishani anayeishi uhamishoni Miguna Miguna ametangaza kuwa atawania kiti cha ugavana wa Nairobi katika...
Miguna amezea ugavana Nairobi licha ya visiki
NA WANGU KANURI WAKILI mbishi aliyenyimwa kibali cha kuingia nchini Kenya, Dkt Miguna Miguna, ametangaza kuwa atawania kiti cha ugavana...
- by adminleo
- July 13th, 2020
Miguna awajibu watumiaji mitandao ya kijamii kuhusu mwonekano wake wa ‘kukonda’
Na MARY WANGARI MWANASIASA aliyefurushwa nchini Miguna Miguna amefungua moyo kufuatia hisia za baadhi ya watumiaji wa mitandao ya...
- by adminleo
- January 7th, 2020
Miguna adai amezuiwa kuabiri ndege ya kutoka Frankfurt hadi Nairobi
Na IBRAHIM ORUKO WAKILI Miguna Miguna ambaye anatarajiwa Kenya baada ya kukaa nchini Canada kwa muda karibu ya mwaka mmoja amedai kwamba...
- by adminleo
- January 6th, 2020
Serikali yasema haitarajii drama kurejea kwa Miguna Miguna
Na MARY WAMBUI SERIKALI imekariri kwamba hakutarajiwa drama na mvutano wowote wakili Miguna Miguna akitarajiwa kutua nchini Kenya...
- by adminleo
- August 12th, 2019
Miguna aitaka Jubilee imuombe radhi mara 21!
Na VALENTINE OBARA MWANAHARAKATI wa upinzani aliyetimuliwa nchini na Serikali ya Jubilee, Dkt Miguna Miguna sasa anataka serikali...
- by adminleo
- December 14th, 2018
Mahakama yaagiza Matiang’i na Kihalangwa wamlipe Miguna Sh7 milioni
Na RICHARD MUNGUTI MWANASHERIA mbishi Dkt Miguna Miguna aliyefurushwa kutoka humu nchini Mnamo Machi 29, 2018 atalipwa fidia ya Sh7...
- by adminleo
- May 16th, 2018
MIGUNA MIGUNA: Ajipiga kifua kisha kukunja mkia na kusalia Canada
Na WYCLIFFE MUIA MWANASIASA na wakili mbishi aliyefurushwa nchini, Dkt Miguna Miguna alikunja mkia kuhusu kurejea Kenya Jumatano licha...