Tag: mudavadi
- by T L
- January 27th, 2022
Ruto aingia hema la Mudavadi
Na BENSON MATHEKA NAIBU wa Rais William Ruto atatumia muungano ‘ulioundwa’ mwaka 2021 na kiongozi wa Amani National Congress (ANC)...
- by T L
- December 22nd, 2021
CECIL ODONGO: Mudavadi ataingia ikulu rahisi kupitia kwa Raila
Na CECIL ODONGO MSIMU wa kampeni kali za kisiasa umewadia huku viongozi mbalimbali wa kisiasa wakimezea viti mbalimbali. Kinara wa ANC...
- by T L
- December 12th, 2021
Mudavadi, Weta wajianika kwa kususia hafla ya Raila
Na BENSON MATHEKA HATUA ya kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford Kenya Moses...
- by T L
- December 8th, 2021
CECIL ODONGO: Kauli ya Kalonzo na Mudavadi ithibati hawana haja na ikulu
Na CECIL ODONGO KAULI ya vinara wawili wa One Kenya Alliance (OKA), kuwa muungano wao hauna mbio kumteua mwaniaji wa Urais 2022,...
- by T L
- November 27th, 2021
Masuala yanayomfanya Mudavadi ‘kuchukia’ Raila
CECIL ODONGO na LEONARD ONYANGO HATUA ya Kinara wa Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi kuonekana kukerwa hadharani na...
- by T L
- October 30th, 2021
Ujasiri wa kipekee wa Mudavadi kura ya 2022 ikikaribia
Na BENSON MATHEKA Licha ya ngome yake ya eneo la Magharibi kuonekana kumponyoka, kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC)...
Mwanasiasa yeyote asijiapishe tena kama Raila, ni haramu – Mudavadi
Na SAMMY WAWERU KIONGOZI wa Amani National Congress (ANC) Bw Musalia Mudavadi amebadilisha msimamo wake kuhusu hatua ya Bw Raila Odinga...
Mudavadi sasa akimbilia baraka za wazee kabla ya Muhkisa Kituyi
Na DERICK LUVEGA KIONGOZI wa Chama cha Amani National Congress (ANC), Bw Musalia Mudavadi, amekimbilia kukutana na wazee wa jamii ya...
Nitapigania kiti cha urais, sitateuliwa na Ikulu – Mudavadi
Na DERICK LUVEGA KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi amesema hatarajii kukabidhiwa uongozi wa nchi hii...
Huzuni tele viongozi wakipoteza wazazi wao
Na WAANDISHI WETU HUZUNI ilitanda jana katika familia za viongozi mbalimbali waliofiwa na wazazi wao. Rais Uhuru Kenyatta aliongoza...
Kura ya Matungu kipimo cha umaarufu wa Mudavadi
Na LEONARD ONYANGO UCHAGUZI mdogo wa ubunge katika eneobunge la Matungu, Kaunti ya Kakamega, kitakuwa kipimo cha umaarufu wa kiongozi wa...
Raila, Mudavadi kujipima nguvu Matungu
VALENTINE OBARA na SHABAN MAKOKHA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, amepuuzilia mbali wito wa viongozi wa eneo la Magharibi...