• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Sokomoko mpya Amerika raia mwingine mweusi akiuawa

NA MASHIRIKA MAANDAMANO makubwa jana yalizuka viungani mwa jiji la Mineapolis, Amerika baada ya polisi kumpiga risasi raia mweusi karibu...

Kero mitandaoni polisi kumuua Mwafrika kwa kumkanyaga shingoni kwa goti

NA MASHIRIKA Minnesota, Amerika Video ya Mwafrika aliyefariki baada ya polisi wa Minneapolis kumkanyaga kwa goti shingoni huku...

AIBU YA UBAGUZI: Moussa Marega wa FC Porto ajiondoa uwanjani

Na MASHIRIKA GUIMARAES, URENO MSHAMBULIAJI Moussa Marega wa FC Porto alijiondoa uwanjani dakika ya 69 ya mechi dhidi ya Vitoria...

BBI: Ubaguzi umekolea katika kaunti

Na BENSON MATHEKA WAKENYA wanasema serikali za kaunti zimejawa na ubaguzi wakati wa uajiri, ugavi wa rasilmali na huduma huku wanasiasa...

Lukaku ataka Fifa kuadhibu wanaoeneza ubaguzi wa rangi

Na AFP SARDEGNA ARENA, ITALIA MSHAMBULIZI mpya wa Inter Milan, Romelu Lukaku, amelitaka Shirikisho la Soka Duniani (Fifa) kuchukua...

Kimombo kilimpiga chenga mfanyakazi wetu, Chandarana yajitetea

Na BRIAN OKINDA WAMILIKI wa maduka ya Chandarana Foodplus yanayokabiliwa na madai ya kueneza chuki na ubaguzi wa rangi wanadai...

UBAGUZI SGR: Wakenya na Wachina hawakai meza moja wakila

Na LUCY KILALO WAZIRI wa Uchukuzi James Macharia amekiri kuwa raia wa Kenya na wenzao wa China wanaofanya kazi katika SGR hawakai kwa...

SHAIRI: Kwa nini tubaguane?

Na IZIRARE HAMADI Uumbile lilo hariri, mola katuumbia, Liwe shari au heri, adinasi jijazia, Mapambo yake kahari, sote...

TAHARIRI: Serikali ikome kuwabagua wanawake katika usajili KDF

[caption id="attachment_1500" align="aligncenter" width="800"] Usajili wa vijana kwenye jeshi waendelea mjini Lamu Februari 12, 2018. Kati...