Tag: homa bay
Wafanyakazi walioangukia ‘manna’ waamrishwa wairejeshe
Na GEORGE ODIWUOR WAFANYAKAZI 3,000 wa Kaunti ya Homa Bay walipigwa na butwaa baada ya kulipwa mshahara wa Sh0 huku wenzao wakipata...
Kidero akemea wanaovuruga mikutano
Na GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Dkt Evans Kidero na Mbunge wa Rangwe Dkt Lilian Gogo wamewakashifu baadhi ya viongozi wa...
- by adminleo
- December 1st, 2019
Mbadi ajitosa kwa ubishi wa kurithi Gavana Awiti
Na GEORGE ODIWUOR MWENYEKITI wa ODM John Mbadi amejiingiza katika mjadala kuhusu urithi wa Gavana wa Homa Bay Cyprian Awiti huku...
- by adminleo
- November 15th, 2019
Gavana Awiti ‘awapoteza’ maseneta kwa kuwasilisha stakabadhi ya Kijerumani
Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Homa Bay Cyprian Awiti aliwashangaza maseneta Alhamisi alipowasilisha mbele yao barua ambayo ilikuwa...
- by adminleo
- May 15th, 2019
Awiti akosa kufika mbele ya Seneti kwa kuugua
Na CHARLES WASONGA SERIKALI ya kaunti ya Homa Bay imepewa makataa ya siku saba kuwasilisha kwa Seneti majibu ya maswali yaliyoibuliwa...
- by adminleo
- April 30th, 2019
ODONGO: Wanasiasa wa Homa Bay wakomeshe malumbano
Na CECIL ODONGO MALUMBANO yanayoshuhudiwa kati ya wanasiasa wa Gatuzi la Homa Bay kuhusu kiti cha ugavana yanatia breki wajibu muhimu wa...
- by adminleo
- April 30th, 2019
HOMA BAY: Naibu Gavana ashika usukani Awiti akitibiwa
NA CECIL ODONGO GAVANA wa Homa Bay Cyprian Awiti amemwachia Naibu wake Hamilton Orata majukumu ya kuendesha kaunti hadi atakapopata...
- by adminleo
- August 16th, 2018
Watano kati ya 7 watiwa nguvuni Homa Bay
NA PETER MBURU WASHUKIWA watano kwenye sakata ya upujaji wa Sh26 milioni katika kaunti ya Homa Bay tayari wametiwa nguvuni na wanazuiliwa...
- by adminleo
- August 16th, 2018
Haji aagiza maafisa 7 wa Homa Bay kukamatwa
Na PETER MBURU MKUU wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji Alhamisi alielekeza Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kuwatia...
- by adminleo
- February 28th, 2018
Miili ya maafisa wawili kutoka Bomet yapatikana Homa Bay
Na BARACK ODUOR MIILI ya watu wawili wanaoaminika kuwa wafanyakazi wa serikali ya Kaunti ya Bomet, ilipatikana imetupwa katika Kaunti ya...
- by adminleo
- February 20th, 2018
Pigo kwa Gavana baada ya mahakama kumpokonya ushindi
Na BARACK ODUOR GAVANA wa Homa Bay, Cyprian Awiti, Jumanne alipata pigo baada ya Mahakama Kuu kubatilisha ushindi wake kwenye uchaguzi...