• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 10:55 AM

Wafanyakazi walioangukia ‘manna’ waamrishwa wairejeshe

Na GEORGE ODIWUOR WAFANYAKAZI 3,000 wa Kaunti ya Homa Bay walipigwa na butwaa baada ya kulipwa mshahara wa Sh0 huku wenzao wakipata...

Kidero akemea wanaovuruga mikutano

Na GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi, Dkt Evans Kidero na Mbunge wa Rangwe Dkt Lilian Gogo wamewakashifu baadhi ya viongozi wa...

Mbadi ajitosa kwa ubishi wa kurithi Gavana Awiti

Na GEORGE ODIWUOR MWENYEKITI wa ODM John Mbadi amejiingiza katika mjadala kuhusu urithi wa Gavana wa Homa Bay Cyprian Awiti huku...

Gavana Awiti ‘awapoteza’ maseneta kwa kuwasilisha stakabadhi ya Kijerumani

Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Homa Bay Cyprian Awiti aliwashangaza maseneta Alhamisi alipowasilisha mbele yao barua ambayo ilikuwa...

Awiti akosa kufika mbele ya Seneti kwa kuugua

Na CHARLES WASONGA SERIKALI ya kaunti ya Homa Bay imepewa makataa ya siku saba kuwasilisha kwa Seneti majibu ya maswali yaliyoibuliwa...

ODONGO: Wanasiasa wa Homa Bay wakomeshe malumbano

Na CECIL ODONGO MALUMBANO yanayoshuhudiwa kati ya wanasiasa wa Gatuzi la Homa Bay kuhusu kiti cha ugavana yanatia breki wajibu muhimu wa...

HOMA BAY: Naibu Gavana ashika usukani Awiti akitibiwa

NA CECIL ODONGO GAVANA wa Homa Bay Cyprian Awiti amemwachia Naibu wake Hamilton Orata majukumu ya kuendesha kaunti hadi atakapopata...

Watano kati ya 7 watiwa nguvuni Homa Bay

NA PETER MBURU WASHUKIWA watano kwenye sakata ya upujaji wa Sh26 milioni katika kaunti ya Homa Bay tayari wametiwa nguvuni na wanazuiliwa...

Haji aagiza maafisa 7 wa Homa Bay kukamatwa

Na PETER MBURU MKUU wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji Alhamisi alielekeza Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kuwatia...

Miili ya maafisa wawili kutoka Bomet yapatikana Homa Bay

Na BARACK ODUOR MIILI ya watu wawili wanaoaminika kuwa wafanyakazi wa serikali ya Kaunti ya Bomet, ilipatikana imetupwa katika Kaunti ya...

Pigo kwa Gavana baada ya mahakama kumpokonya ushindi

Na BARACK ODUOR GAVANA wa Homa Bay, Cyprian Awiti, Jumanne alipata pigo baada ya Mahakama Kuu kubatilisha ushindi wake kwenye uchaguzi...