• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 3:23 PM

NCIC yasema haitawashtaki Sifuna na Jumwa

Na CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa ODM Edwin Sifuna na Mbunge wa Malindi Aisha Jumwa wamesamehewa kwa kosa la kulumbana kwa kutumia...

Marekebisho katika BBI yaja – Wanasiasa

Na JUSTUS OCHIENG' MJADALA kuhusu ripoti ya Jopokazi la Maridhiano (BBI) Jumapili uliendelea kuchacha, wandani wa Rais Uhuru Kenyatta na...

Hatutakubali Jumwa chamani, ajitetee debeni – ODM

Na SAMUEL BAYA Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kimesisitiza kuwa hakitamkubali tena mbunge wa Malindi Aisha Jumwa kikisema...

Nasa yamkaanga Ruto kushauri muungano huo uvunjwe

Na LEONARD ONYANGO VIONGOZI wa NASA wamepuuzilia mbali wito wa Naibu wa Rais William Ruto aliyeshauri kuwa vyama tanzu vya muungano huo...

RUTO ATIKISA ODM: Wabunge wa ODM waapa kumuunga Ruto 2022

CHARLES WASONGA na MOHAMED AHMED NAIBU Rais William Ruto ameyumbisha chama cha ODM hasa Pwani baada ya viongozi sugu wa chama hicho...

ODM yaonya wabunge wake dhidi ya kunaswa na Ruto

Na MOHAMED AHMED CHAMA cha ODM kimetishia kuadhibu wanachama wake waliotangaza watamwunga mkono Naibu Rais William Ruto kuwa rais...

ODM yavitaka vyama tanzu vya NASA vikomeshe siasa za 2022

Na VALENTINE OBARA KATIBU Mkuu wa Chama cha ODM, Bw Edwin Sifuna, amepuuzilia mbali vyama tanzu vya Muungano wa NASA vinavyotaka upinzani...