• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Biden motoni wanaharakati Amerika wakitaka asiwanie urais

NA MASHIRIKA WASHINGTON, AMERIKA WANAHARAKATI na watetezi wa haki za binadamu nchini Amerika sasa wanataka Rais wa nchi hiyo, Joe Biden,...

Rais mkongwe wa Liberia nusura azirai akisoma hotuba ya kiapo

NA LABAAN SHABAAN RAIS wa Liberia Joseph Boakai alishindwa kuhimili jua kali la Monrovia nusura azirai alipokuwa anasoma hotuba baada ya...

DeSantis ajiondoa na kuunga Trump kwa urais Amerika

FLORIDA, AMERIKA NA MASHIRIKA GAVANA wa Florida, Ron DeSantis Jumapili alisitisha kampeni zake za kuwania urais kupitia chama cha...

Macho kwa Refa Mkenya ‘kuamua’ mechi kati ya Morocco na DR Congo

NA LABAAN SHABAAN MWAMUZI Mkenya Peter Waweru Kamaku atashika kipenga leo Jumapili, Januari 21, 2024 katika mechi kati ya Morocco na...

Mkenya azuiliwa Marekani kwa kudaiwa kumuua muuzaji kuni

NA RUTH MBULA RAIA wa Kenya anayeishi Fort Worth, Texas Marekani, alikamatwa na kuzuiliwa kwa tuhuma za kumuua mwanamume ambaye alimuona...

Tanzania yamfuta kocha Amrouche kufuatia matamshi tatanishi

NA WYCLIFFE NYABERI  Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) limemsimamisha kazi kocha wa timu ya taifa ya wanaume Taifa Stars, Adel...

Bobi Wine awekwa ‘chini ya kizuizi’ nyumbani

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA KIONGOZI wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, almaarufu Bobi Wine alisema jana amezuiliwa nyumbani...

Polisi watibua maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi DRC

Na MASHIRIKA KINSHASA, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) POLISI nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Jumanne waliwatawanya...

Ulaya sasa yahofia kurejea kwa Trump mamlakani Amerika

BRUSSELS, UBELGIJI NA MASHIRIKA ALIYEKUWA Rais wa Amerika Donald Trump anatishia mataifa mengi barani Uropa kwa kuwania tena urais...

Hizi kashfa dhidi ya wahubiri maarufu kuendelea hadi lini?

NA WANDERI KAMAU KWA kawaida, maana na lengo kuu la dini huwa ni kutoa matumaini kwa washirika wake. Dini huwa kama kimbilio la kumpa...

UN yalaumiwa kwa kimya sana Gaza ikipondwa na Israeli

NA WANDERI KAMAU HALI ya wasiwasi imeibuka duniani kutokana na kimya cha Umoja wa Mataifa (UN), huku Israeli ikiendelea kutekeleza...

Waziri wa masuala ya umaskini afutwa kwa kujiwekea Sh96 milioni akaunti ya kibinafsi

Na MASHIRIKA Rais wa Nigeria amemsimamisha kazi waziri mmoja kwa kujiwekea Sh96 milioni za walipa ushuru kwenye akaunti ya...