• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 4:36 PM

Waziri wa masuala ya umaskini afutwa kwa kujiwekea Sh96 milioni akaunti ya kibinafsi

Na MASHIRIKA Rais wa Nigeria amemsimamisha kazi waziri mmoja kwa kujiwekea Sh96 milioni za walipa ushuru kwenye akaunti ya...

Kanisa msalabani: Mjadala wa mapadri kuoa waibuka tena Vatican

ROMA, ITALIA NA MASHIRIKA AFISA mkuu wa Vatican amesema kanisa linapaswa kufikiria sana kuhusu haja ya kuruhusu makasisi kuoa. Afisa...

Milipuko ya mabomu Iran yaua 103 katika makumbusho ya Qasem Soleimani

NA MASHIRIKA TAFSIRI: FATUMA BARIKI TEHRAN, IRAN Milipuko miwili ya mabomu imeua takriban waombolezaji 103 Jumatano Januari 3,...

Ndege zagongana na kuua watu sita

Na MASHIRIKA NDEGE moja iliyokuwa imebeba abiria ililipuka moto Jumanne katika uwanja wa ndege wa Haneda jijini Tokyo, Japan baada ya...

Ushoga: Biden atupa nje Uganda katika mkataba wa kibiashara

Na VINCENT OWINO AMERIKA imezima Uganda kufaidi kutokana na mpango wa kuruhusu mataifa ya Afrika kuuza bidhaa zao Amerika bila kulipia...

Papa Francis aitisha mazungumzo maaskofu wakiendelea kuwindwa

NA MASHIRIKA NICARAGUA TAKRIBAN maaskofu 14 wametiwa mbaroni, kufuatia msako mkali dhidi ya Kanisa Katoliki nchini Nicaragua hatua...

Rais Tshisekedi wa DRC ahifadhi kiti chake

MASHIRIKA na CHARLES WASONGA KINSHASA, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Felix...

Wanajeshi 1, 000 wa Burundi walitumwa kisiri mashariki mwa DRC

NA MASHIRIKA ZAIDI ya wanajeshi 1, 000 wa Burundi walitumwa kisiri Mashariki kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Oktoba,...

Urusi yaponda Ukraine kwa mabomu, yaua 30

NA MASHIRIKA MAAFISA wa Ukraine wamesema kuwa takriban watu 30 waliuawa na wengine zaidi ya 140 wakajeruhiwa baada ya Urusi kulenga miji...

Korti yaagiza mwekezaji kutoka Rwanda arudishiwe Sh400m

NA RICHARD MUNGUTI NAIROBI, KENYA RAIA wa Rwanda Desire Muhinyuza atasherehekea Mwaka Mpya 2024 akiwa na amani na utulivu moyoni,...

Mvumbuzi wa bastola ya Glock aaga dunia

NA MASHIRIKA GASTON Glock, mhandisi na bwanyenye aliyetengeneza bastola aina ya Glock 17, aliaga dunia Desemba 27, 2023, akiwa na umri...

Aachiliwa miaka 48 baadaye kwa kosa ambalo hakutenda

NA WANDERI KAMAU MWANAMUME nchini Amerika ameachiliwa gerezani baada ya kufungwa miaka 48, alipopatikana bila hatia kutokana na mashtaka...