• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:15 AM

UFUGAJI: Wachina huwania nyama ya sungura wao kila wakati

NA PETER CHANGTOEK UFUGAJI wa sungura ni shughuli ambayo inaweza kumfaidi mfugaji, hasa iwapo ataiendeleza kwa njia ifaayo. Sungura wana...

Jinsi ustawishaji wa maua na mimea ya kuvutia unavyompa kipato, utulivu wa moyo

Na MAGDALENE WANJA MNAMO Machi 2019, Bi Marlene Mweru, aliamua kugawa mimea na maua ambayo alikuwa amepanda hapo awali nyumbani kwao ili...

ZARAA: Makadamia yalishuka bei 2020, uongezeaji thamani ukamuokoa

NA SAMMY WAWERU UGONJWA wa Covid-19 ulipotua nchini Machi 2020, Wangui Ikahu ni mmoja wa wawekezaji katika sekta ya kilimo walioathirika...

UFUGAJI: Mbuzi wamemfungulia milango ya kulipa karo

NA JOHN NJOROGE WAKATI Harrison Simotwo alihamia boma lake jipya 1996 kutoka Baringo Kaskazini, alianza kufuga ng’ombe wa maziwa na...

Kilimo cha wadudu tiba ya udongo kwa zao bora

NA RICHARD MAOSI VERMICULTURE ni teknolojia ya kufuga wadudu wa aina ya earthworms kwa manufaa ya kurutubisha udongo kwa ajili ya kukuza...

UJASIRIAMALI: Kuchelewa kuwasili kwa zawadi yake Siku ya Wapendanao kuliamsha ari yake kujitosa kwa biashara ya maua

NA MAGDALENE WANJA BI Marion Wambui alikuwa katika kipindi cha mwanzo katika uhusiano wake na mumewe, na kama ilivyo kawaida kila mmoja...

KILIMO: Anapigiwa mfano kwa kuleta ukuzaji mzuri wa mboga

NA CHARLES ONGADI AGHALABU vijana wengi punde wamalizapo masomo yao ya Kidato cha Nne huwaza kupata kazi za ofisi ama kujitosa katika...

UFUGAJI: Ulemavu kwake si kikwazo, umempa nguvu ya kujituma

NA LABAAN SHABAAN FRANCIS Muiruri alilemaa kwa sababu ya ugonjwa wa polio akiwa mchanga. Sasa ni mume na baba wa mtoto mmoja na...

UJASIRIAMALI: Ni Kamishna Msaidizi aliye pia muundaji wa matofali

NA PETER CHANGTOEK DAWIN Orina amekuwa akitengeneza matofali kwa muda wa mwongo mmoja na nusu sasa. Yeye ni Kamishna Msaidizi wa kaunti...

Siri ya ufugaji nyuki ipo katika uongezeaji thamani

NA SAMMY WAWERU ASALI ni mojawapo ya mazao ya ufugaji yenye soko lenye ushindani mkuu. Samuel Muhindi na binamu yake, Martin Mwangi...

TUJIFUNZE THAMANI YA NYUKI: Wanachohitaji wafugaji ni hamasisho na mafunzo kuhusu ufugaji nyuki

NA SAMMY WAWERU KIWANGO cha asali tunayozalisha nchini kikiwa chini ya asilimia 20, ni bayana nafasi ipo kwa wenye ari ya kuingilia...

ZARAA: Mwalimu avuna faida za kuzamia kilimo

NA PETER CHANGTOEK KATIKA shamba la ekari saba na nusu katika eneo la Muani, kilomita tano kutoka Sultan Hamud, ukielekea Kasikeu,...