• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 8:50 AM

Pasta mwalikwa kwenye krusedi afurushwa kwa kuvalia suti ‘tight’

NA JOHN MUSYOKI ISINYA, KAJIADO MTUMISHI wa Mungu barobaro aliyealikwa kuhubiri eneo hili alipata pigo, watu walipomsuta kwa...

Maombi yakikataa kufanya kazi ‘faster’ nitageukia mganga, mwanadada aamua

NA NICHOLAS CHERUIYOT KAMWAURA, NAKURU MHUBIRI mmoja alidinda kuongoza maombi katika boma la mshirika wa kanisa lake, mwanadada...

Demu akubali mistari ya jamaa kwa sharti moja: “Utanilipa ada kila mwezi”

GITHUNGURI, KIAMBU NA TOBBIE WEKESA Kimada katika mkahawa mmoja wa eneo hili alimuacha polo kwa mawazo tele kutokana na msimamo...

Demu abaki kwa mataa kidume cha pembeni kumhepa baada ya kutemwa na mumewe

Na JANET KAVUNGA MOMBASA MJINI MWANADADA wa hapa anajuta kufukuzwa na mumewe bila chochote alipogundua alizini kisha mpango wake wa kando...

Barobaro aliyemfuata shugamami kwake nyumbani atumiwa majibwa

VIPINGO, MALINDI NA JANET KAVUNGA BAROBARO aliyemfuata shugamami kwake baada ya kutofautiana nusra atafunwe na majibwa saba...

Kidosho na shemeji waingia mitini baada ya kunaswa na mzee wakilishana mahanjam

CHANGAMWE, MOMBASA Na JANET KAVUNGA JOMBI mmoja hakuamini kugundua kwamba mkewe alikuwa akichepuka na kaka yake. Jamaa alidhani ukuruba...

Avunja vyombo nyumbani kujua vilitoka kwa kimada wa mumewe

NA NICHOLAS CHERUIYOT CHEBUNYO, CHEPALUNGU MWANADADA mwenye hasira alivunjavunja vyombo vya jikoni alivyoletewa na mumewe baada ya...

Demu apanga kumtoroka mume baada ya ex wake kurejea kutoka majuu

DIANI, KWALE Na JANET KAVUNGA DEMU wa hapa anapanga kumuacha mumewe wa miaka minne baada ya ex wake kurejea nchini kutoka...

Kalameni aangushia mama yake mijeledi akidai anamchafulia mkewe sifa

Na JOHN MUSYOKI Jamaa mmoja mjini hapa alishangaza watu kwa kutoogopa laana na kumwangushia mamake viboko. Hii ni baada ya kushutumu kwa...

Kalameni akemea ex wake kwa kumwandama warudiane

MTWAPA MJINI Na JANET KAVUNGA KALAMENI wa hapa alimfokea demu aliyemtema kwa kumwandama akitaka kujua vipusa anaotoka nao. Mwanadada...

Jombi pabaya kwa kudai mvua ya mafuriko ni adhabu ya Mungu

CHANGAMWE, MOMBASA Na JANET KAVUNGA KALAMENI wa hapa alikemewa vikali na wakazi kwa kudai mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa...

Sibanduki, mke amkalia ngumu mumewe aliyetaka kumfurusha

MKOMANI, MOMBASA Na JANET KAVUNGA JUHUDI za jombi wa hapa za kumtimua mkewe ili aoe mpango wa kando ziligonga mwamba mwanadada alipokataa...