Na TOBBIE WEKESA MSAKASA, Bungoma KIZAAZAA kilizuka eneo hili baada ya wazee kumlazimisha mganga kuwagawia sehemu ya faida...
Na JOHN MUSYOKI KIVAA, MASINGA WAKAZI walishuhudia sinema ya bwerere mwanamke mmoja alipoamuru nyumba ya mwanawe ibomolewe ili auze...
Na JOHN SAMUEL MUTUKU BAHATI, NAKURU POLO wa eneo hili aliyekuwa akijiandaa kuoa alipata mshangao atakaochukua muda mrefu kusahau...
Na TOBBIE WEKESA ROYSAMBU, Nairobi KIZAAZAA kilizuka eneo hili polo alipokatiziwa raha ya kuchovya asali katika chumba cha mpenzi...
Na JOHN MUTUKU SAMUEL PIPELINE, NAIROBI POLO mtaani hapa alijifungia ndani ya nyumba kwa siku kadhaa kujiuguza baada ya kufinywa...
Na TOBBIE WEKESA LWANDA JOMBI mkazi wa hapa alijipata pabaya baada ya wake zake kuamua kumnyima asali. Inasemekana wakewenza...
Na TOBBIE WEKESA KABARNET, BARINGO POLO alipigwa na butwaa alipowasili katika hospitali moja hapa na kumpata jamaa mmoja akimsubiri...
Na JOHN MUTUKU SAMUEL KIBINGOTI, Kirinyaga PASTA wa kanisa moja eneo hili hakuamini arubaini zake zilipofika akajipata akinyenyekea...
Na JOHN MUTUKU SAMUEL HURLINGHAM, NAIROBI POLO alibaki kulia na kuomboleza kama mfiwa, akashindwa kutoka nje ya nyumba kichuna...
Na NICHOLAS CHERUIYOT NAROK Mjini BAROBARO mmoja wa mji huu alifinywa na kisha kutimuliwa na shugamami wake kwa kunyemelea binti...
Na Nicholas Cheruiyot Mwanasiasa limbukeni alivunjika moyo mpango wake wa kumhamisha nduguye kwake ili amuachie boma atumie kujipigia...
Na JOHN MUSYOKI MAKONGENI, THIKA KIDOSHO mmoja mtaani hapa alimzaba kofi jamaa mmoja kwa kukataa kumtongoza. Demu alikuwa na...