NA WANDERI KAMAU UCHUMI wa Tanzania umetabiriwa kukua kuliko chumi za Kenya na Uganda mwaka huu 2024. Kulingana na ripoti iliyotolewa...
NA MASHIRIKA VIONGOZI wa mataifa ya Magharibi wa wamemlaumu moja kwa moja Rais wa Urusi Vladimir Putin kwa kifo cha Kiongozi wa Upinzani...
NA MASHIRIKA WAZIRI wa Ulinzi wa Amerika, Lloyd Austin, alilazwa hospitalini mjini Washington Jumapili kwa matibabu ya “dalili...
NA MWANANCHI DAR ES SALAAM, TANZANIA WAZIRI wa zamani ambaye pia aliwahi kugombea urais nchini Tanzania Edward Lowassa ameaga dunia...
NA REUTERS GENEVA, USWISI TAKRIBAN watoto 700,000 nchini Sudan wako hatarini kukabiliwa na utapiamlo wa hali ya juu mwaka huu 2024,...
NA MASHIRIKA VATICAN, VATICAN KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema anaona "unafiki" katika kauli za watu...
NA MASHIRIKA WABUNGE watatu wa upinzani wamekamatwa nchini Senegal, huku kukiwa na mzozo mkali wa kisiasa. Mvutano huo ni kufuatia hatua...
NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Zanzibar imepiga marufuku mtindo wa watu wa jamii ya Maasai kutembea hadharini wakiwa wamebeba silaha za...
NA REUTERS JUBA, SUDAN KUSINI MAPIGANO yanayoendelea baina ya makundi tofauti magharibi mwa Sudan Kusini yamesababisha vifo vya...
NA WANDERI KAMAU MFALME Charles III wa Uingereza amethibitishwa kuugua saratani, yalisema makao ya kifalme ya Buckingham, kwenye taarifa...
NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto, Jumapili aliwaongoza Wakenya kutuma rambirambi kwa watu wa Namibia, kufuatia kifo cha Rais Hage...
NA MASHIRIKA VATICAN CITY, VATICAN KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema katika mahojiano yaliyochapishwa Jumatatu...