• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 8:50 AM

Watu saba wafariki dunia baada ya matatu kukanyaga kilipuzi Mandera

FARHIYA HUSSEIN na MANASE OTSIALO WATU saba wamethibitishwa kufariki dunia huku 13 wakiwa wanauguza majeraha baada ya matatu iliyokuwa...

Majeshi pinzani ya Somalia yakabana

Na MANASE OTSIALO SHUGHULI za kibiashara Jumatatu zilivurugwa katika mji wa Mandera baada ya mapigano kuchacha kati ya makundi mawili ya...

Watu 32 waliotengwa kupimwa corona Mandera watoweka

Na MANASE OTSIALO SERIKALI ya Kaunti ya Mandera, imejipata njiapanda baada ya watu 32 waliokuwa wametengwa kusubiri kuthibitishwa ikiwa...

Agizo magari Kaskazini yasisafiri bila ya polisi

JACOB WALTER, MERCY MWENDE na MANASE OTSIALO SERIKALI imeamuru kwamba magari yote ya umma yanayotoka au kuelekea Kaskazini Mashariki...

20 wajeruhiwa Mandera katika ajali ya barabara usiku

Na MANASE OTSIALO WATU 20 walijeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Kaunti ya Mandera baada ya basi walilokuwa wameabiri kupata ajali...

Duka la kwanza la jumla lawapa raha wakazi wa Mandera

MANASE OTSIALO Ilikuwa siku ya furaha kuu mjini Mandera ambapo duka la kwanza la jumla lilifungua malango yake Jumanne...

AP aliyetoroshwa kituo cha polisi na wenzake akamatwa upya

Na HILLARY KIMUYU AFISA wa polisi wa utawala ambaye alitoroshwa kutoka kwa kituo cha polisi katika Kaunti ya Mandera na wenzake,...

MANDERA: Serikali lawamani kwa utovu wa usalama

Na MANASE OTSIALO VIONGOZI katika Kaunti ya Mandera wamelaumu serikali kwa ukosefu wa usalama katika eneo hilo. Viongozi hao walisema...