Tag: nzige
- by adminleo
- February 1st, 2020
KINAYA: Hapa kwetu, BBI na kukabili upinzani ni muhimu zaidi kuliko janga la nzige
Na DOUGLAS MUTUA MWAMBIE ‘Ouru’ atafute dawa ya nzige haraka, na asisahau pia kutafuta dawa ya Mwangi Kiunjuri. Bila shaka unajua...
- by adminleo
- January 31st, 2020
Kipruto Kirwa ataka serikali itangaze nzige janga la kitaifa
Na SAMMY WAWERU MWANASIASA Kipruto Arap Kirwa ameisihi serikali kutangaza uvamizi wa ngige waharibifu kwenye mimea kama janga la...
- by adminleo
- January 30th, 2020
Nzige ni chakula kizuri, wataalamu washauri
Na WINNIE ATIENO WATAALAMU wa hali ya hewa na tabianchi na wenzao wa lishe bora wamewasihi Wakenya wavune nzige waliovamia zaidi ya...
- by adminleo
- January 25th, 2020
Nzige sasa wasababisha uharibifu Embu
GEORGE MUNENE na BENSON MATHEKA WAKAZI wa Kaunti ya Embu wamekumbwa na wasiwasi baada ya nzige kuvamia mashamba yao. Wadudu hao...
- by adminleo
- January 21st, 2020
Nzige sasa waharibu mimea Baringo na Turkana
NA BARNABAS BII, SAMMY LUTTA na FLORAH KOECH NZIGE waliovamia sehemu mbalimbali za nchi sasa wametua katika Kaunti za Turkana na...
- by adminleo
- January 21st, 2020
MAZINGIRA NA SAYANSI: Uvamizi wa nzige nchini hatari kwa mazingira na afya
Na LEONARD ONYANGO NZIGE waliovamia baadhi ya sehemu nchini waweka Kenya katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa, magonjwa na uharibifu...
- by adminleo
- January 15th, 2020
Nzige walivyotafuna kazi ya Kiunjuri
Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta hatimaye ameanza kuwatia adabu viongozi serikalini ambao wanaenda kinyume na amri yake ya kuzima...
- by adminleo
- January 13th, 2020
Njaa yabisha nzige wakitua Kirinyaga
Na GEORGE MUNENE HOFU ya njaa imezuka katika eneo la kati baada ya nzige kuonekana katika kijiji cha Riandira, Kaunti ya Kirinyaga...
- by adminleo
- January 4th, 2020
Serikali kutumia ndege kunyunyiza kemikali kukabiliana na kero ya nzige – Oguna
BRUHAN MAKONG na MARY WANGARI SERIKALI inatarajia kuanza shughuli ya kutumia ndege kunyunyiza takribani lita 3,000 za kemikali...