• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 5:55 AM

Bintiye Keroche alikiri Lali alimpagawisha kwa mapenzi, nduguye aambia mahakama

Na RICHARD MUNGUTI MMOJA wa wakurugenzi wa kampuni ya Keroche Breweries aliyekufa, Tecra Muigai alikuwa amekiri kwa nduguye kuwa alikuwa...

Korti yaelezwa Lali alikuwa na mazoea ya kumgombeza mpenzi aliyeaga

Na RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA mlinzi wa kibinafsi wa marehemu Tecra Muigai, ambaye alikuwa bintiye mmiliki wa kampuni ya pombe ya...

Uchunguzi wa kifo cha Tecra Muigai kufanyika Februari

Na RICHARD MUNGUTI OMBI la Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) la kutaka uchunguzi wa kubaini kilichosababisha kifo cha Tecra Muigai,...

Omar Lali kujibu shtaka la mauaji

Na KALUME KAZUNGU MPENZI wa marehemu Tecra Muigai, Omar Lali sasa amepatikana na kesi ya kujibu kuhusiana na kifo cha binti huyo wa...

Wachunguzi wa kifo cha Tecra Muigai wapewa siku 30 zaidi

Na KALUME KAZUNGU WACHUNGUZI wa kesi inayomkabili Omar Lali, mpenzi wa binti ya wamiliki wa kampuni ya Keroche Breweries, marehemu Bi...

Polisi wachunguza chanzo cha kifo cha Tecra Muigai

Na KALUME KAZUNGU POLISI Kaunti ya Lamu wanaendeleza uchunguzi kuhusiana na kifo cha Bi Tecra Muigai ambaye ni binti wa mmiliki wa...