• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 11:59 AM
LSK yapinga Sheria ya Fedha ya 2023

LSK yapinga Sheria ya Fedha ya 2023

NA RICHARD MUNGUTI

CHAMA cha Wanasheria Nchini (LSK) kimewasilisha kesi kupinga utekelezaji wa Sheria ya Fedha, 2023 inayoshurutisha waajiri kukata wafanyakazi asilimia 1.5 ya mishahara.

Waajiri pia wanatakiwa watoa kiwango sawa na hicho cha kila mfanyakazi.

LSK inaasema sheria hii inakandamiza haki za wafanyakazi na waajiri.

  • Tags

You can share this post!

Safaricom yatia kapuni tuzo ya kwanza ya Mazingira ya UNEP

Macho kwa Japan, Uhispania Kombe la Dunia la Wanawake...

T L