• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 8:50 AM

Amerika yatoa ahadi kusaidia Joho kufufua uchumi wa kaunti yake

Na PHILIP MUYANGA SERIKALI ya Amerika imejitolea kusaidia ufufuzi wa uchumi wa Kaunti ya Mombasa uliopata pigo kubwa kutokana na janga...

Wadau wateta kampuni ya Joho kupewa kandarasi

ANTHONY KITIMO KAMPUNI ya kibinafsi inayohusishwa na familia ya Gavana Ali Hassan Joho hatimaye imechukua usukani wa kituo cha mizigo...

CORONA: Mombasa yapiga marufuku matibabu ya nyumbani

Na WINNIE ATIENO SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa imepiga marufuku matibabu ya nyumbani kwa wagonjwa wanaougua Covid-19 baada ya kufichuka...

Siri kali ya Joho, Waiguru

Na WAANDISHI WETU MKUTANO baina ya Gavana wa Mombasa Hassan Joho na mwenzake wa Kirinyaga, Bi Anne Waiguru, umeibua mdahalo miongoni mwa...

Mombasa iko katika hatari ya kufungwa, aonya Joho

Na WACHIRA MWANGI KAUNTI ya Mombasa huenda ikafungwa iwapo wakazi wataendelea kukaidi masharti yaliyowekwa kuzuia kuenea kwa virusi vya...

Joho akariri Umoja wa Pwani ungalipo

Na MOHAMED AHMED GAVANA wa Mombasa Hassan Joho amesema kuwa yeye pamoja na magavana wenzake kutoka Ukanda wa Pwani wanapanga misururu ya...

JAMVI: Joho na Kingi waanza kumkama Raila kijasho

Na MOHAMED AHMED KINARA wa chama cha ODM Raila Odinga anaonekana kupitia wakati mgumu wa kisiasa katika ukanda wa Pwani ambapo chama...

2022: Joho awakashifu wanaokejeli azma yake

Na SIAGO CECE GAVANA wa Mombasa Hassan Joho amewakashifu viongozi wa Pwani wanaotilia shaka uwezo wake wa kuwania urais...

Joho apuuza wanaomtaka adandie wilbaro

Na MOHAMED AHMED GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho, amepuuzilia mbali watu wanaojaribu kumshurutisha ashirikiane na Naibu Rais William...

Wahudumu wa afya wamshutumu Joho

Na WINNIE ATIENO WAFANYAKAZI wa afya wanaoendelea na mgomo wao wamemtaka Gavana wa Mombasa Hassan Joho kusitisha kampeni za kisiasa...

VIFO: Joho awahimiza wakazi wa Mombasa wazingatie kanuni za afya nafasi zikikosekana mavani

Na WINNIE ATIENO TAHARUKI imetanda Kaunti ya Mombasa baada ya kubainika nafasi zinakosekana za kuwazika wafu katika makaburi ya...

Joho anyenyekea mbele ya madiwani

Na WINNIE ATIENO GAVANA Hassan Joho wa Mombasa ameanza mapatano na madiwani wa Mombasa baada ya malumbano yaliyoleta hisia kali katika...