Tag: ingwe
- by adminleo
- May 22nd, 2018
Mvutano baina ya Ingwe na FKF kuhusu debi ya Mashemeji
Na CECIL ODONGO UONGOZI wa Klabu ya AFC Leopards umesisitiza kwamba mchuano mkali wa debi kati yao na mahasimu wao wa tangu jadi Gor...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Ingwe yawinda mshambuliaji wa Nzoia Sugar
Na JOHN ASHIHUNDU KLABU ya AFC Leopards inapanga kuvamia ngome ya Nzoia Sugar kumnasa mshambuliaji matata, Elvis Rupia. Ripoti zimesema...
- by adminleo
- May 13th, 2018
Sare ya 2-2 dhidi ya Nakumatt yatamausha mashabiki wa Ingwe
Na GEOFFREY ANENE MASHABIKI wa AFC Leopards hawana raha kabisa baada ya timu yao kukabwa 2-2 na Nakumatt na kumaliza mechi ya nane bila...
- by adminleo
- May 7th, 2018
Kitambi atajwa kocha bora wa mwezi KPL
Na JOHN ASHIHUNDU Kocha wa AFC Leopards anayeondoka, Dennis Kitambi ametawazwa Kocha Bora wa Mwezi Aprili KPL. Katika uteuzi huo...
- by adminleo
- May 1st, 2018
Gor yaibwaga Ingwe kuchuana na Hull City Mei 13
Na GEOFFREY ANENE GOR Mahia imeimarisha rekodi yake ya kutoshindwa na AFC Leopards hadi mechi tano baada ya kuichapa kwa njia ya penalti...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Mshindi kati ya Gor na Ingwe kuumiza nyasi dhidi ya Hull City Mei 13
Na CECIL ODONGO KLABU ya Hull City ya Uingereza itapambana na mshindi kati ya wapambe wa ligi Gor Mahia na AFC Leopards katika mechi...
- by adminleo
- April 11th, 2018
Ingwe wakaribia kujaza pengo la Kitambi
Na CHRIS ADUNGO MABINGWA mara 13 wa Ligi Kuu ya KPL, AFC Leopards, wamefichua kwamba wako pua na mdomo kupata huduma za mkufunzi mpya...
- by adminleo
- April 8th, 2018
Ingwe yaponea kichapo
Na GEOFFREY ANENE AFC Leopards imetoka nyuma mabao mawili na kulazimisha sare ya 2-2 dhidi ya Nzoia Sugar kwenye Ligi Kuu mjini Mumias,...
- by adminleo
- March 25th, 2018
Matano aitaka Ingwe imfidie Sh4.9 milioni kwa kumsimamisha kazi
Na GEOFFREY ANENE KOCHA Robert Matano anataka fidia ya Sh4.9 milioni kutoka kwa klabu ya AFC Leopards iliyomsimamisha kazi kabla ya...
- by adminleo
- February 22nd, 2018
Gor kuvaana na Kariobangi huku Ingwe ikikabiliana na Ulinzi
NA CECIL ODONGO Ligi kuu ya KPL inarejelewa wikendi hii klabu za Gor Mahia na AFC leopards zikishuka dimbani baada ya kushiriki...
- by adminleo
- February 13th, 2018
Mechi ya Ingwe dhidi ya Wazito yaahirishwa
[caption id="attachment_1272" align="aligncenter" width="800"] Duncan Otieno (kulia) wa AFC Leopards apambana na Piepre Michael Tavina...
- by adminleo
- February 12th, 2018
AFC Leopards pabaya katika CAF baada ya kukubali sare
[caption id="attachment_1272" align="aligncenter" width="800"] Duncan Otieno (kulia) wa AFC Leopards apambana na Piepre Michael Tavina...