• Nairobi
  • Last Updated May 9th, 2024 6:40 PM

Kangemi Ladies wabomoa City Queens

Na JOHN KIMWERE TIMU ya City Queens ilibebeshwa kapu la magoli 8-0 na Kangemi Ladies kwenye patashika ya kukunja jamvi ya kampeni za...

Kahawa Queens wazidi kudhihirisha makali yao

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Kahawa Queens iliendeleza mtindo wake kutembeza vipigo mbele yua wapinzani wao kwenye mechi za Kundi A Ligi ya...

Kangemi Ladies yatetemesha ligi

Na JOHN KIMWERE WANASOKA wa Kangemi Ladies walivuna pointi sita nayo Uweza Women ilitwaa alama nne baada ya kila moja kucheza mechi za...

Kahawa Queens yaibuka moto wa kuotea mbali

Na JOHN KIMWERE TIMU ya Kahawa Queens iliandikisha ushindi wa pointi sita muhimu baada ya kucheza patashika mbili na kutua kileleni mwa...

KWPL: Wadadia LG kusaka ushindi wikendi

Na JOHN KIMWERE WADADIA LG wikendi hii itakuwa vitani kutafuta pointi sita muhimu itakaposhiriki mechi mbili kwenye kampeni za Ligi Kuu...

Lengo la Kahawa Queens ni kutesa mabinti wapinzani ligini

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Kahawa United ambayo sasa itajulikana kama Kahawa Queens inalenga kupigana kwa udi na uvumba kwenye...

GASPO wawashtua vipusa wa Thika KWPL

Na JOHN KIMWERE MALKIA wa zamani, Thika Queens ilijikuta njia panda ilipozabwa mabao 4-3 na GASPO Women kwenye mechi ya Soka ya Ligi Kuu...

Thika Queens na Vihiga Queens wamumunya wapinzani

Na JOHN KIMWERE THIKA Queens iliichabanga Soccer Queens kwa mabao 5-1 wakati Vihiga Queens ikisajili magoli 4-0 mbele ya Wadadia LG...

Thika Queens wajikuta njia panda KWPL

Na JOHN KIMWERE MABINGWA wa zamani katika Ligi Kuu ya Soka la Wanawake ya Kenya (KWPL), Thika Queens wameona giza baada ya kuzimwa kwa...

Amani, Beijing Raiders zakosa maarifa

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Amani Queens iliona giza iliporandwa bao 1-0 na Carolina for Kibera kwenye mchezo wa kuwania taji la...

Vihiga Queens wachupa kileleni Thika Queens wakiwaduwaza Eldoret Falcons

Na JOHN KIMWERE MALKIA wa Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake ya Kenya (KWPL), Vihiga Queens ilijiongezea pointi tatu na kutua kileleni mwa...