Tag: Queens
- by adminleo
- July 15th, 2019
Kangemi Ladies wabomoa City Queens
Na JOHN KIMWERE TIMU ya City Queens ilibebeshwa kapu la magoli 8-0 na Kangemi Ladies kwenye patashika ya kukunja jamvi ya kampeni za...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Kahawa Queens wazidi kudhihirisha makali yao
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Kahawa Queens iliendeleza mtindo wake kutembeza vipigo mbele yua wapinzani wao kwenye mechi za Kundi A Ligi ya...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Kangemi Ladies yatetemesha ligi
Na JOHN KIMWERE WANASOKA wa Kangemi Ladies walivuna pointi sita nayo Uweza Women ilitwaa alama nne baada ya kila moja kucheza mechi za...
- by adminleo
- June 10th, 2019
Kahawa Queens yaibuka moto wa kuotea mbali
Na JOHN KIMWERE TIMU ya Kahawa Queens iliandikisha ushindi wa pointi sita muhimu baada ya kucheza patashika mbili na kutua kileleni mwa...
- by adminleo
- June 6th, 2019
KWPL: Wadadia LG kusaka ushindi wikendi
Na JOHN KIMWERE WADADIA LG wikendi hii itakuwa vitani kutafuta pointi sita muhimu itakaposhiriki mechi mbili kwenye kampeni za Ligi Kuu...
- by adminleo
- May 26th, 2019
Lengo la Kahawa Queens ni kutesa mabinti wapinzani ligini
Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Kahawa United ambayo sasa itajulikana kama Kahawa Queens inalenga kupigana kwa udi na uvumba kwenye...
- by adminleo
- April 21st, 2019
GASPO wawashtua vipusa wa Thika KWPL
Na JOHN KIMWERE MALKIA wa zamani, Thika Queens ilijikuta njia panda ilipozabwa mabao 4-3 na GASPO Women kwenye mechi ya Soka ya Ligi Kuu...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Thika Queens na Vihiga Queens wamumunya wapinzani
Na JOHN KIMWERE THIKA Queens iliichabanga Soccer Queens kwa mabao 5-1 wakati Vihiga Queens ikisajili magoli 4-0 mbele ya Wadadia LG...
- by adminleo
- April 10th, 2019
Thika Queens wajikuta njia panda KWPL
Na JOHN KIMWERE MABINGWA wa zamani katika Ligi Kuu ya Soka la Wanawake ya Kenya (KWPL), Thika Queens wameona giza baada ya kuzimwa kwa...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Amani, Beijing Raiders zakosa maarifa
Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanawake ya Amani Queens iliona giza iliporandwa bao 1-0 na Carolina for Kibera kwenye mchezo wa kuwania taji la...
- by adminleo
- March 18th, 2019
Vihiga Queens wachupa kileleni Thika Queens wakiwaduwaza Eldoret Falcons
Na JOHN KIMWERE MALKIA wa Ligi Kuu ya Soka ya Wanawake ya Kenya (KWPL), Vihiga Queens ilijiongezea pointi tatu na kutua kileleni mwa...