• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM
Migne aita wengine wanne kuimarisha kikosi cha Stars

Migne aita wengine wanne kuimarisha kikosi cha Stars

Na JOHN ASHIHUNDU

Kocha wa Harambee Stars, Sebastian Migne amewaita kikosini wachezaji wanne wapya.

Nyota hao waliotwa kujiunga na timu hiyo ya Harambee Stars ni Whyvonne Isuza, Jafari Odenyi na Robinson Kamura wote kutoka AFC Leopards na Robert Arot wa Nakuru All Stars.

Kulingana na orodha hiyo, AFC Leopards na Kariobangi Sharks ndizo zilizo na idadi kubwa katika timu hiyo.

Wachezaji walioitwa ni Makipa: John Oyemba (Kariobangi Sharks), Timothy Odhiambo (Ulinzi Stars), Patrick Matasi (Posta Rangers).

Walinzi: Yusuf Mainge (AFC Leopards), Bolton Omwenga (Kariobangi Sharks), David Owino (Mathare United), Dennis Shikhayi (AFC Leopards), Michael Kibwage (AFC Leopards), Jockins Atudo (Posta Rangers), Johnstone Omurwa (Mathare United), Geoffrey Shiveka (Kariobangi Sharks), Moses Mudavadi (St Anthony Kitale), Robinson Kamura (AFC Leopards), Musa Mohamed (asiye na klabu), Eric Ouma (KF Tirana, Albania).

Viungo: Chrispin Oduor (Mathare United), Vincent Wasambo (Kariobangi Sharks), Cliff Nyakeya (Mathare United), Robert Arot (Nakuru All-Stars), Patillah Omotto (Kariobangi Sharks), Duncan Otieno (AFC Leopards), Marvin Omondi (AFC Leopards), Whyvonne Isuza (AFC Leopards) na Jafari Odenyi (AFC Leopards).

Washambuliaji: Elvis Rupia (Nzoia Sugar), Pistone Mutamba (Wazito FC) na Ovella Ochieng (Kariobangi Sharks).

You can share this post!

Ingwe yawinda mshambuliaji wa Nzoia Sugar

Gor itapigana kufa kupona dhidi ya USM Alger – Shakava

adminleo