Tag: magari
Polisi waanza kufanya uchunguzi baada ya moto kuchoma magari kwenye gereji
Na SAMMY KIMATU MAGARI 13 yakiwemo ya kifahari yaliteketea katika gereji moja eneo la Cereal Board mkabala wa barabara ya Lunga Lunga,...
FAUSTINE NGILA: Usilie ughali wa mafuta, nunua gari la kielektriki
NA FAUSTINE NGILA MAGARI mengi yanayomilikiwa humu nchini na duniani kote yanatumia dizeli au petroli, mafuta ambayo yanachafua...
AKILIMALI: Jinsi vijana watatu Mathare Kaskazini wanavyonufaika kwa kuyapaka magari rangi
Na WINNIE ONYANDO WAKIWA katika mavazi yao maalum ya kazi na mikononi wameshika mashine za kutumia wanapopaka rangi magari, vijana...
Watumishi wa serikali wasusia mikopo ya magari
Na KENYA NEWS AGENCY MAAFISA wa serikali ya kitaifa wamesusia hazina iliyoanzishwa na serikali kuwapa mikopo ya kununua magari, Afisa...
Ndoto ya MCAs kupata magari yaanza kuzimika
Na IBRAHIM ORUKO MADIWANI watangojea kwa muda mrefu kabla kupata Sh2 milioni za kununua magari ambayo waliahidiwa na Rais Uhuru...
Toyota Kenya kutuza mwanafunzi bora Sh500,000 katika uchoraji gari
Na Leonard Onyango KAMPUNI ya magari ya Toyota Kenya, imetangaza tuzo ya Sh500,000 kwa mwanafunzi atakayeibuka mshindi wa shindano la...
WHO yatoa msaada wa magari kuhamasisha umma kuhusu corona
Na DIANA MUTHEU SHIRIKA la Afya Ulimwenguni (WHO) limetoa msaada wa magari sita kwa kaunti ya Mombasa yatakayotumika kuhamasisha...
- by adminleo
- December 30th, 2019
Korti yasitisha kuongezwa kwa ada ya kuegesha magari jijini Nairobi
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu Jumatatu imeamuru serikali ya Kaunti ya Nairobi isiongeze ada ya kuegesha magari hadi kesi...
- by adminleo
- December 4th, 2019
Mahakama yasitisha kwa muda ada mpya iliyopandishwa ya uegeshaji magari Nairobi
Na RICHARD MUNGUTI na SAMMY WAWERU MAHAKAMA Kuu imesitisha utekelezwaji wa ada iliyopandishwa ya kuegesha magari jijini Nairobi hadi...
- by adminleo
- October 7th, 2019
Magari aina ya Renault Trucks yaanza kuundiwa kiwandani KVM Thika
Na LAWRENCE ONGARO MAGARI mapya aina ya Renault Trucks yameanza kuundwa rasmi katika kiwanda cha magari cha KVM mjini Thika. Hafla...
- by adminleo
- September 27th, 2019
Kenya kuwa mwenyeji wa mashindano ya mbio za dunia za magari
Na CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta, Ijumaa ametimiza mojawapo ya ahadi zake kuu kwa Wakenya alipotangaza kuwa mashindano ya magari...
- by adminleo
- September 10th, 2019
MAZINGIRA NA SAYANSI: Moshi wa magari unaweza kusababisha upofu uzeeni
Na LEONARD ONYANGO IKIWA unaishi au kufanya kazi katika maeneo yaliyo na moshi mwingi wa magari kama vile steji ya mabasi au barabara...