• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:35 AM
Matiang’i, Kibicho wajibu wakosoaji

Matiang’i, Kibicho wajibu wakosoaji

NA WYCLIFFE NYABERI

WAZIRI wa Usalama wa Ndani Dkt Fred Matiang’i na katibu wa wizara hiyo Dkt Karanja Kibicho wamesema kelele za wakosoaji wao kuhusu kazi wanayoifanya haziwakoseshi usingizi.

Wakiongea Nyamira jana Ijumaa, walisema wamekuwa wakikosolewa na wanasiasa kwa kutekeleza majukumu yao ya kiserikali.

  • Tags

You can share this post!

Serikali kufidia wauzaji unga wa reja reja

Wanawake na wasichana Kilifi hatarini kiafya kwa kukosa...

T L