• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 7:47 PM

Uaminifu wa Mutua kwa Ruto wayumba

NA CHARLES WASONGA UAMINIFU wa Gavana wa Machakos, Dkt Alfred Mutua kwa muungano wa Kenya Kwanza unaoongozwa na mgombeaji wake wa urais,...

Kingi, Muturi na Mutua hatarini msajili akikosa kuwatambua

NA BENSON MATHEKA HATIMA ya Gavana wa Machakos Alfred Mutua, mwenzake wa Kilifi Amason Kingi na Spika wa Bunge ya Kitaifa Justin Muturi...

Mutua aahidi wanandoa ‘zawadi’ ya Sh0.5 milioni wakimchagua rais 2022

Na WANDERI KAMAU GAVANA Alfred Mutua wa Machakos ameahidi kuwapa wanandoa wapya mkopo wa kati ya Sh500,000 na Sh1 milioni kama...

Naomba unikome!

Na MARY WANGARI KISANGA cha mapenzi kugeuka shubiri kati ya Gavana wa Machakos Alfred Mutua na Bi Lilian Nganga, kimechukua mkondo mpya...

Hawana jipya hao, Mutua awasuta viongozi wa OKA

Na SAMMY WAWERU GAVANA wa Kaunti ya Machakos Dkt Alfred Mutua ameicharura Okoa Kenya Alliance (OKA) akiitaja kama muungano wa viongozi...

Mutua ataka wizara ikomeshe mtindo wa wanafunzi kufika shuleni mapema sana

Na SAMMY WAWERU GAVANA wa Machakos Alfred Mutua amesikitishwa na jinsi wanafunzi hasa wa shule za msingi wanavyolazimishwa kuamka kuelekea...

Mutua na Lilian wafunikia kiini cha kutengana

Na BENSON MATHEKA KUTENGANA kwa Gavana wa Machakos, Dkt Alfred Mutua na mkewe wa pili Lilian Nganga, kumezua mdahalo miongoni mwa...

Vifaranga wapya wa Raila

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha ODM, Raila Odinga, amewanasa washirika wapya baada ya vinara wa vyama vikuu vya kisiasa kuapa...

Maafisa wa polisi wako katika mazingira duni, yaboreshwe – Dkt Mutua

Na SAMMY WAWERU UMEWADIA wakati maslahi ya maafisa wetu wa polisi yaangaziwe na kuimarishwa, amesisitiza gavana wa Machakos, Alfred...

Mutua akubali Ruto ni maarufu Mlima Kenya

Na SAMMY WAWERU GAVANA wa Machakos Dkt Alfred Mutua amewataka wakosoaji wa Naibu Rais William Ruto kujua amepenyeza mizizi eneo la Mlima...

MUTUA AMTIA UHURU PRESHA

BENSON MATHEKA Na PIUS MAUNDU Wakenya wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuiga mfano wa Gavana wa Machakos Alfred Mutua kwa kuwapatia afueni...

Afueni kwa wakazi wa Machakos Gavana Mutua akiwapunguzia gharama ya maisha

Na SAMMY WAWERU IMEKUWA afueni kwa wafanyabiashara na wakazi Machakos baada ya Gavana wa Kaunti hiyo Dkt Alfred Mutua kutangaza Jumatatu...